Nini kimelisibu gazeti la Raia Mwema?

Nini kimelisibu gazeti la Raia Mwema?

Hili ni gazeti lililojizolea sifa kwa uandishi makini na wa kina. Tangu suala la kuuzwa kwa bandari zetu lianze, limejiunga na kundi la vijarida vya hivyo kama Wamachinga, Jamvi la habari, uhuru, habari leo nk.

Hii inaweza kuwa ni sababu ya Udini wa Ulimwengu au mgao wa mwarabu umewafikia wahariri?
Ulimwengu ni Muislam, ila hana mbambamba.
Kwenye ukweli anasema ukweli
 
Hili ni gazeti lililojizolea sifa kwa uandishi makini na wa kina. Tangu suala la kuuzwa kwa bandari zetu lianze, limejiunga na kundi la vijarida vya hivyo kama Wamachinga, Jamvi la habari, uhuru, habari leo nk.

Hii inaweza kuwa ni sababu ya Udini wa Ulimwengu au mgao wa mwarabu umewafikia wahariri?
Huenda wameshachagua upande.
 
Watanzania tuna tatizo la mirengo, na negativity, ukiishakuwa na mrengo negative kuhusu jambo fulani, na ukaamini, hata ukiambiwa ukweli halisi hutaamini!.

Mfano mzuri ni hizi kelele za DPW na Bandari zetu, mkataba au makubaliano ni mabaya lakini DPW ya Mwarabu wa Dubai ni nzuri na itatusaidia sana.

Sasa mtu uliyeaminishwa Mwarabu wa Dubai na DPW ni wabaya, akitokea mtu kukueleza ukweli kuwa ni wazuri, wewe lazima utamshangaa!.
P
Ajabu unaandika mkataba au makubaliano ni mbaya, halafu unasema waarabu watatusaidia sana!, sasa watatusaidia kupitia makubaliano gani? au ndio tumeshakuwa wajinga wakujitoa sadaka kizembe, halafu tunasubiri hisani ya wageni?

Ulichoandika hapo juu ni dharau kwetu.
 
Hivi `Jenerali ana udini kweli ?
maake siamini kama Ulimwengu ni mnazi wa huo uislam-...mtu mwenye akili nyingi na tafakuri za kina kama Jenerali hawezi zombwa na ujinga wa dini za mapokeo hizi.
Jenerali ulimwengu,mtu mbaguzi,mlevi na mvuta bangi.mie huwa sioni kbs chochote kwenye kichwa cha huyu kikongwe.
 
Hili ni gazeti lililojizolea sifa kwa uandishi makini na wa kina. Tangu suala la kuuzwa kwa bandari zetu lianze, limejiunga na kundi la vijarida vya hivyo kama Wamachinga, Jamvi la habari, uhuru, habari leo nk.

Hii inaweza kuwa ni sababu ya Udini wa Ulimwengu au mgao wa mwarabu umewafikia wahariri?
inawezekana kabisa mkono mchafu wa mwarabu umewafikia raia mwema na wameulamba. Kuendesha gazeti bongo si lele mama, nani anapoteza pesa yake kununua gazeti leo wakati habari zote zinapatikana mitandaoni?
 
Watanzania tuna tatizo la mirengo, na negativity, ukiishakuwa na mrengo negative kuhusu jambo fulani, na ukaamini, hata ukiambiwa ukweli halisi hutaamini!.

Mfano mzuri ni hizi kelele za DPW na Bandari zetu, mkataba au makubaliano ni mabaya lakini DPW ya Mwarabu wa Dubai ni nzuri na itatusaidia sana.

Sasa mtu uliyeaminishwa Mwarabu wa Dubai na DPW ni wabaya, akitokea mtu kukueleza ukweli kuwa ni wazuri, wewe lazima utamshangaa!.
P
Sawa! Lakini kuna Muhariri yeyote ambaye amejikita katika uchambuzi wa vifungu tata katika IGA? Mi nafikiri kama waandishi wao wasijikite katika kuwa Mwarabu mmbaya au mzuri ila wajikite katika vifungu tata.

Mfano:- Hamza Johari siku anaongea na wahariri alizungumza kuwa sio kweli kuwa wanampa DP Wolrd bandari zote za Tanganyika ila ni Bandari ya Dar tu! Ila kwanini kwenye IGA kuna maneno "Sea and Lake Ports"? Yapo kwa bahati mbaya? Mbona hata ao wahariri wameshindwa kuliona ilo? Ni Oscar Oscar tu tena mchambuzi wa habari za michezo ndo amewahj kulisema ili ila wengine wamefumba mamcho nankuandika maneno ya Johari as if siku wakipelekana mahakamani maneno ya Johari ndiyo yatazingatiwa kuliko kilichopo kwenye mkataba wenyewe.
 
Hili ni gazeti lililojizolea sifa kwa uandishi makini na wa kina. Tangu suala la kuuzwa kwa bandari zetu lianze, limejiunga na kundi la vijarida vya hivyo kama Wamachinga, Jamvi la habari, uhuru, habari leo nk.

Hii inaweza kuwa ni sababu ya Udini wa Ulimwengu au mgao wa mwarabu umewafikia wahariri?
Mbona liko poa tu! Kwa sasa liko kizalendo zaidi.
 
inawezekana kabisa mkono mchafu wa mwarabu umewafikia raia mwema na wameulamba. Kuendesha gazeti bongo ni lele mama, nani anapoteza pesa yake kununua gazeti leo wakati habari zote zinapatikana mitandaoni
Ni kweli muarabu anatosha nimeona hata Jamhuri ameishaliweka mfukoni. Tanzania ukiona mtu anapita kelele kuhusu ufisadi jua kamba yake ni fupi, haimfikishi kwenye asali
 
Sawa! Lakini kuna Muhariri yeyote ambaye amejikita katika uchambuzi wa vifungu tata katika IGA? Mi nafikiri kama waandishi wao wasijikite katika kuwa Mwarabu mmbaya au mzuri ila wajikite katika vifungu tata.

Mfano:- Hamza Johari siku anaongea na wahariri alizungumza kuwa sio kweli kuwa wanampa DP Wolrd bandari zote za Tanganyika ila ni Bandari ya Dar tu! Ila kwanini kwenye IGA kuna maneno "Sea and Lake Ports"? Yapo kwa bahati mbaya? Mbona hata ao wahariri wameshindwa kuliona ilo? Ni Oscar Oscar tu tena mchambuzi wa habari za michezo ndo amewahj kulisema ili ila wengine wamefumba mamcho nankuandika maneno ya Johari as if siku wakipelekana mahakamani maneno ya Johari ndiyo yatazingatiwa kuliko kilichopo kwenye mkataba wenyewe.
Naunga mkono hoja, media zetu ni tatizo, waandishi wetu wa habari ni tatizo na Wahariri pia ni tatizo!.
P
 
Objectivity !!!

Ukweli ni Upi ? Kwamba wewe ndio una Hati Miliki ya Ukweli ? Na sababu unahabarisha unatoa Ukweli wako tu na sio Ukweli wa Mwingine ?

Kazi ya magazeti / habari ni kuongelea ukweli na kama ukweli huo ni subjective una pande mbili kazi ya hao waandishi ni kuchukua pande zote kuelezea wanachosema na mwisho wa siku ni kumalizia kwa conclusion accordingly wao wanavyoona (Na hata wanavyoona sio wote ni sawa kutokana na perspective Tofauti)...; Sasa kama Serikali ndio sahihi na hivi vyombo vinatumika kusambaza kile Serikali inataka hio ni Propaganda Machine...
Natamani sana akusome vizuri huyo uliyemjibu hapa.
 
Wewe ni mwandishi na mwanasheria kinyonga.
Duh...!. Naheshimu mawazo yako
Wasomi wenzio wameonyesha dukuduku zao kwenye baadhi ya vipengele,
Mimi ni miongoni mwa watu wa mwanzo kutoa maoni yangu ya kisheria Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee!
badala ya kujibu hoja zao mnaelezea uzuri wa mauzo hayo?
Uzuri sio wa mauzo ni wa DPW.
P
 
Shida mnataka kila mtu afikiri mnavyofikiri nyie.
Ni wapi ilipoandikwa hivyo?

Kwa hiyo unataka watu wenye akili timamu wafikiri kama wanavyofikiri vichaa?

Kama jamii inaona jambo halifai, unataka wanyamaze kwa vile kuna wachache wanaonufaika na jambo bovu?
 
Hili ni gazeti lililojizolea sifa kwa uandishi makini na wa kina. Tangu suala la kuuzwa kwa bandari zetu lianze, limejiunga na kundi la vijarida vya hivyo kama Wamachinga, Jamvi la habari, uhuru, habari leo nk.

Hii inaweza kuwa ni sababu ya Udini wa Ulimwengu au mgao wa mwarabu umewafikia wahariri?

Gazeti la Raia mwema kwa sasa linamilikiwa na kuendeshwa na Saed Kubenea
Jenerali Ulimwengu hahusiki nalo kabisa.
Kubenea alilinunua
Kwa hiyo, maswali yote yanapaswa kuelekezwa kwa KUbenea
 
Ajabu unaandika mkataba au makubaliano ni mbaya, halafu unasema waarabu watatusaidia sana!, sasa watatusaidia kupitia makubaliano gani? au ndio tumeshakuwa wajinga wakujitoa sadaka kizembe, halafu tunasubiri hisani ya wageni?

Ulichoandika hapo juu ni dharau kwetu.
Logic contradiction[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni kweli muarabu anatosha nimeona hata Jamhuri ameishaliweka mfukoni. Tanzania ukiona mtu anapita kelele kuhusu ufisadi jua kamba yake ni fupi, haimfikishi kwenye asali
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]Kamba ikirefuka wanakausha kimya,baadae ukiwauliza vipi mbona siku hizi hatuoni mashambulizi yako kwa mahasimu wako?watakujibu kwamba"Pamoja na mabaya yao wanayofanya ila wana mazuri mengi"baniani mbaya kiatu chake dawa
 
Back
Top Bottom