Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Nimekuwa mwandishi wa habari kwa kipindi cha zaidi ya miaka 30, hivyo hizo bahasha, nimevuta sana na bado natimiza wajibu wangu kikamilifu.Hata wewe pia ni tatizo. Bahasha ingekupitia au teuzi usinge ona mapungufu.
Kivipi?.ila wewe jamaa una bahati mbaya.
Wenzako woote wamesha lamba teuzi lkn wewe bado. Iakini usihofu labda mbinguni utapata teuzi.Nimekuwa mwandishi wa habari kwa kipindi cha zaidi ya miaka 30, hivyo hizo bahasha, nimevuta sana na bado natimiza wajibu wangu kikamilifu.
Kivipi?.
P
Limekuwa toilet paperHili ni gazeti lililojizolea sifa kwa uandishi makini na wa kina. Tangu suala la kuuzwa kwa bandari zetu lianze, limejiunga na kundi la vijarida vya hivyo kama Wamachinga, Jamvi la habari, uhuru, habari leo nk.
Hii inaweza kuwa ni sababu ya Udini wa Ulimwengu au mgao wa mwarabu umewafikia wahariri?
Aendelee kulamba matakoWenzako woote wamesha lamba teuzi lkn wewe bado. Iakini usihofu labda mbinguni utapata teuzi.
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Una uhakika wamiliki ni wale wale wa zamani kina Ulimwengu?inawezekana kabisa mkono mchafu wa mwarabu umewafikia raia mwema na wameulamba. Kuendesha gazeti bongo si lele mama, nani anapoteza pesa yake kununua gazeti leo wakati habari zote zinapatikana mitandaoni?
Humjui vizuri Ulimwengu weweee!Hivi `Jenerali ana udini kweli ?
maake siamini kama Ulimwengu ni mnazi wa huo uislam-...mtu mwenye akili nyingi na tafakuri za kina kama Jenerali hawezi zombwa na ujinga wa dini za mapokeo hizi.
Hiyo inajulikana waziNi mdini balaa
Haya majamaa malofa sana, yaani mtu akiwaza tofauti na wao tu basi maneno ya uzushi kibaaao. JPM alifanya la maana kweli kuwafirimbia mbali......wana mambo ya kingese sana!!!Mnafikiri kila mtu ana mawazo kama yenu? Acheni ukuda🤣
wapi nimemtaja Ulimwengu au wamiliki wa raia mwema?Una uhakika wamiliki ni wale wale wa zamani kina Ulimwengu?
Sorry nilikunukuu kimakosa. Kuna member mmoja alikuwa anamlamu Ulimwengu.wapi nimemtaja Ulimwengu au wamiliki wa raia mwema?
Mayala - manjaa makubwaObjectivity !!!
Ukweli ni Upi ? Kwamba wewe ndio una Hati Miliki ya Ukweli ? Na sababu unahabarisha unatoa Ukweli wako tu na sio Ukweli wa Mwingine ?
Kazi ya magazeti / habari ni kuongelea ukweli na kama ukweli huo ni subjective una pande mbili kazi ya hao waandishi ni kuchukua pande zote kuelezea wanachosema na mwisho wa siku ni kumalizia kwa conclusion accordingly wao wanavyoona (Na hata wanavyoona sio wote ni sawa kutokana na perspective Tofauti)...; Sasa kama Serikali ndio sahihi na hivi vyombo vinatumika kusambaza kile Serikali inataka hio ni Propaganda Machine...
Inasemekana lilinunuliwa na Kubenea na ZittoSorry nilikunukuu kimakosa. Kuna member mmoja alikuwa anamlamu Ulimwengu.
Chanzo umasikiniRushwa inatesa sn taifa letu
Chanzo ni mindsetChanzo umasikini