Nini kimemkuta Dele Alli?

Nini kimemkuta Dele Alli?

mshale21

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
2,126
Reaction score
5,068
[emoji116]
20230106_165124.jpg
 
Tatizo lilianzia hapa ..huyu ndie maria mtoto wa pep gardiola ,dele alianza kutembea nae ,badae akawa anakuwa mvivu spurs ,hafanyi mazoezi ,morhino kipindi hiko ndio yupo spurs ,wakaachana nae ,maana mo alimchana live " lazy player[emoji3]"

Baada ya hapo hajawahi kurudi kwenye kiwango ...
Screenshot_20230106-174213.jpg
 
Huyu laana ya kuiropokea arsenal maneno mabovu inamtafuna....

Nasikia utopolo wanamnyatia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


ALISEMA YEYE KUICHEZEA ARSENAL BORA ASTAAFU SOKA HATA AKIWA NA MIAKA 20[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu laana ya kuiropokea arsenal maneno mabovu inamtafuna....

Nasikia utopolo wanamnyatia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


ALISEMA YEYE KUICHEZEA ARSENAL BORA ASTAAFU SOKA HATA AKIWA NA MIAKA 20[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na nyie mshtuke sasa mpaka mchezaji kuwatamkia hivyo ujue mna kagundu na mikosi
 
Back
Top Bottom