Nini kimemkuta Khamisi wa BSS?

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Huyu kijana alitamba sana kipindi cha nyuma kwenye kwenye shindano la kusaka vipaji vya kuimba BSS.

Kutoka na kupiga guitar kwa umaridadi mkubwa na kuimba vizuri kulimfanya ajizolee mashabiki lukuki, ikumbukwe kijana huyu alikulia kwenye misingi bora ya dini.

Hivi juzi kati picha yake imekuwa ikitrendi kwenye mitandao ya kijamii huku mashabiki zake wakijiuliza nini kimempata?







 
Kwenye kutafuta pesa, kuna fanya mtu abadilike asimkumbuke hata Muumba wake....

Anewei maisha ni kuchagua, kubadilika ni maamuzi yake
 
Ukionekana hivi lazima niamini una chembe chembe za uzshogha..
 
Ameshaleft group huyo,ukiona mwanamuziki amebleach nywele ujue tayari huyo
 
Ni umaskini tu unamsumbua atafute pesa
 
Fag boy already. Very sad and disappointing to his folks.
 
nilimuona juz ITV anahojiwa kuwa anaimba taarabu labda ndo kujibrand huko au keshakula chuma cha moto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…