Nini kimemkuta Mario Gotze?

Nini kimemkuta Mario Gotze?

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Kutoka kuwa mfungaji wa goli la ushindi la Kombe la Dunia.
Moja kati ya viungo bora wa uchezeshaji kuwahi kutokea Ujerumani, Mario Gotze kwasasa hana namba ya kudumu toka alipokuwa Bayern Munich mpaka aliporejea tena Dortmund, nini kimemkuta kiungo huyu mahiri namba 10? Je alikuwa overrated? Karibuni kwa mjadala.
 
Alikua wa kawaida sana hata kombe la dunia 2014 alikua anatokea benchi.
 
Ni mabadiliko

Sent from my SM-N910C using JamiiForums mobile app
 
Yeye na shinji kagawa walikuwa overrated

Post sent from Sanduku la Posta using JamiiForums mobile app
Mkuu naunga mkono hoja yako maana kuna siku nilibishana na mtu hapa jukwani bila kufikia mwafaka.

Hawana tofauti na akina Tom Cleverly na Jack Wilshere!
 
Back
Top Bottom