Vijana wanaoandaliwa kwenye under twenty ya Simba wasiwe wanahama kwa masimango pale msimbazi.
Huyu dogo aligoma kurudi nyumbani akahamia kwa jirani yanayomkuta kila mtu anajua.
Hata singano alifanya hivyo hivyo yaliyomkuta pia anajua.
Hassan Isihaka nae aliondoka kwa masimango ndani ya miaka mitatu amecheza vilabu vitatu tofauti hii ni laana
Wawe wanaondoka kwa heshima tu bila masimango