Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
uwongo...alikataa kujiunga WCB mond akamuwekea vikwazo vya kutoka kimuziki
aahaa nimejaribu kuimajini tu,maana WCB ni kama marekaniuwongo
inajibu atume barua ya maombi dabiliyu sii biujue ommy zamani alikaa karibu na uwaridi..
ndio maana akanukia
sasa sijui yuko team gani lazima apotee...
kabla alikua na chibu ,alifanikiwa sana!!!
saivi naona ana maskendo tu ya upunga
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah...!!!...alikataa kujiunga WCB mond akamuwekea vikwazo vya kutoka kimuziki
Mkuu ni ukweli au fununu?...alikataa kujiunga WCB mond akamuwekea vikwazo vya kutoka kimuziki
Hivi ni kweli jamaa ni Mchele mchele?ujue ommy zamani alikaa karibu na uwaridi..
ndio maana akanukia
sasa sijui yuko team gani lazima apotee...
kabla alikua na chibu ,alifanikiwa sana!!!
saivi naona ana maskendo tu ya upunga
za kunyapianyapiaMkuu ni ukweli au fununu?
😡😡[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah...!!!
Kwa hiyo kawekewa vikwazo
pungaHivi ni kweli jamaa ni Mchele mchele?
analelewa na nani?huyu kwa sasa hana management zaman alikuwa na mubenga na akazinguana naye saa hz kila mtu kivyake hapo majanga yakaanza ila sasa anaonesha tu nyumba ambayo analelewa humo
ni Mobenga mkuuEti wanasema jina la meneja wake wa mwanzo ndilo lilikuwa linanogesha wimbo pale linapotajwa....
"Bombeenga"
Sasa siku hizi sijui anamtajaga Lizaboni...