Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Aiseee...lisemwalo lipopunga
linaonekana kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee...lisemwalo lipopunga
linaonekana kabisa
naskia ni mke wa mwarabu so majukumu ya kulinda na kutunza familia yake yamembanaWanaukumbi kwema,
Leo naombeni mnijuze nini kimemkuta mwanamuziki Omary Nyembo maarufu kama Ommy Dimpoz ambaye kuna kipindi tuliaminishwa kuwa atakuja kumzidi kama sio kumfunika na kumpoteza kabisa Diamond.
Ikumbukwe Ommy Dimpoz alianza vizuri kwa kutoa vibao matata kama Nainai, Baadae, Tupogo na Ndangushima. Baada ya hapo ametoa nyimbo zilizoshindwa kutamba kabisa...mfano mzuri ni Wanjera. Kwasasa dimpoz amepotea na kafunikwa na vijana wadogo akina Rayvan na Harmonize, Je ni nini kimemsibu staa huyu aliyekuwa anafananishwa na Diamond kwa uwezo wake Kimuziki?
Basi nawajuwaga unadhani?ni Mobenga mkuu
Na mimi naona hii ndo sababuujue ommy zamani alikaa karibu na uwaridi..
ndio maana akanukia
sasa sijui yuko team gani lazima apotee...
kabla alikua na chibu ,alifanikiwa sana!!!
saivi naona ana maskendo tu ya upunga
Kama wewe!Tatizo ommy anajisikiiiaa . Full kujiramba ramba khaaa
Duh kumbe zile pozi zake za kidem dem zinatokana na mgegedo wa mwarabu basi tushampotezanaskia ni mke wa mwarabu so majukumu ya kulinda na kutunza familia yake yamembana michezo mibaya anayofanyiwa inampa hela za kutosha hahitaji tena mziki
unamaanisha Ali Kiba The King... nai naiujue ommy zamani alikaa karibu na uwaridi..
ndio maana akanukia
sasa sijui yuko team gani lazima apotee...
kabla alikua na chibu ,alifanikiwa sana!!!
saivi naona ana maskendo tu ya upunga
MubengaBasi nawajuwaga unadhani?
ahsante kwa usahihisho by de way!.....
ommy dimpoz, ni msanii mwenye uwezo mdogo sana kimziki..Kitu kilichombeba dimpoz ni kushirikisha wasanii wakali katika ngoma zake za mwanzo ndio aka-shine.. Hata wimbo uliomtoa kimziki alimshirikisha msanii mkubwa ndio akatoka.. Mastaa kama diamond na Kiba wapo juu kwani walifanikiwa kutoka kwa juhudi zao.Wanaukumbi kwema,
Leo naombeni mnijuze nini kimemkuta mwanamuziki Omary Nyembo maarufu kama Ommy Dimpoz ambaye kuna kipindi tuliaminishwa kuwa atakuja kumzidi kama sio kumfunika na kumpoteza kabisa Diamond.
Ikumbukwe Ommy Dimpoz alianza vizuri kwa kutoa vibao matata kama Nainai, Baadae, Tupogo na Ndangushima. Baada ya hapo ametoa nyimbo zilizoshindwa kutamba kabisa...mfano mzuri ni Wanjera. Kwasasa dimpoz amepotea na kafunikwa na vijana wadogo akina Rayvan na Harmonize, Je ni nini kimemsibu staa huyu aliyekuwa anafananishwa na Diamond kwa uwezo wake Kimuziki?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] basi aibadilishe kidogo itamkwe 'mombengaaa'Eti wanasema jina la meneja wake wa mwanzo ndilo lilikuwa linanogesha wimbo pale linapotajwa....
"Mobeenga"
Sasa siku hizi sijui anamtajaga Lizaboni...