Nini kimemkuta Ommy Dimpoz?


Stupid mwenyewe,jivunie lugha yako,..sasa umeandika nini hapo...due,..due...
 
Kubahatisha kuna mwisho wake ndo umefika kwa omary. ...kuna watoto tangu waanze kuingia katika game hawajawahi kukosea lakini hawapewi heshima stahiki. .msikilize rich mavoko na msikilize omary ujue hii game haiko fair lakini mwisho wa siku mbahatishaji anapotea taratibh
 

Tatizo wasanii wengi wanafanya kazi kwa kufuata msemo wa kizuri kinajiuza, wanaishia kulalamika tu na kufanya show vi clubs vidogo, malipo madogo, hana trends mitandaoni anaishia kusahaulika..
 

Chibu hana tatizo na ommy, japo si marafiki kama zamani... Na kama umesikia wimbo wa ommy vizuri kamuimba diamond, hiyo ni heshima kubwa sana...!!
 
Chibu hana tatizo na ommy, japo si marafiki kama zamani... Na kama umesikia wimbo wa ommy vizuri kamuimba diamond, hiyo ni heshima kubwa sana...!!
Mashabiki ndo tunawagombanisha wale jamaa
 
Mavoko hana management yule ni zaidi ya kipaji kuna hawa wasanii wanajua sana ila bahati ndo tatizo
Y tony
Recho
Nasiri nk ila clouds wanajifanya mungu watu amini na lina ndo n
Basi tena kimziki
 
Mavoko hana management yule ni zaidi ya kipaji kuna hawa wasanii wanajua sana ila bahati ndo tatizo
Y tony
Recho
Nasiri nk ila clouds wanajifanya mungu watu amini na lina ndo n
Basi tena kimziki

Hakuna cha bahati, wala clouds kuvimba
-Msanii unatakiwa uingie studio utoe ngoma kali, utoe video kali, vipate airtime (na uzuri tu vituo ni vingi saana tvs na radios) kama mwanamuziki mchanga ndio ikutambulishe kama ilivyo basi nenda kwa mo music, na kama tayari umetoboa basi ikuongezee mashsbiki n.k ....
-Tofauti na kutoa ngoma, awe na interval nzuri ya jinsi ya kuachia ngoma zake ili awe kwenye media muda woote, na kuhakikisha anapush zipokelewe na kupata airtime ya kutosha
-Msanii anatakiwa kuwa na mahusiano mazuri na wasanii wenzake na wadau wa burudani. Hapa ndio mwanzo wa kupata support ya promo ya kazi zako, kupeana maujanja, ushauri na kupata shows ambazo ndio chanzo kikuu cha mapato ya wasanii wetu
-Msanii anatakiwa ajibrand, lazima afanye vitu vya kumuweka awe kama chumvi kwenye mboga, mitandaoni usimtafute kwa tochi, awe gumzo, watu wamuelewe zaidi ya kusikiliza tu nyimbo zake ili hata akija kukwambia bila mil 15 sifanyi show promoter ajiongeze

HUYO NDIO MSANII, SIO UNAISHIA KUSEMA NINA KIPAJI TU UNATAKA KIPAJI KIJIUZE UNASAHAU BONGO STAR SEARCH NA TUSKER PROJECT FAME VIJANA NI WAKALI WANATOKA KILA MWAKA ILA HAIELEWEKI WANAKWENDA WAPI.. GAME IS FAIR ENOUGH KAMA UTAENDANA NALO..
 
Sio kweli clouds ni redio moja ya ajabu sana kuwahi kutokea Tanzania
 
Ommy Dimpoz hana kipaji cha muziki ye umwambie kuvaa vikaptura vya kubana na tuviatu twa kike. Halafu ana vimiwani vyake vile vya kurembua macho hasara kabisa yule
 
Yaani mpaka leo hamjui tatizo nini? Hana kipaji. Wasanii wengi wa bongofleva ni talentless wanabebwa na beat tu kama unabisha waambie wakuimbie acapela ndio utajua

Tru say" kubahatisha tu
 
Management yake ina watu wawili ninao wafahamu mubenga na Ay sijui ni panic au vipi maana wanampoteza yule dogo kipaji anacho sound on point but management ni tatizo kwa wasanii wengi sana Tanzania

Management yake yuko Mubenga na sahvi kamuongeza AbbyPlates mkuu"
 

Jana nilikua naskiza E-Fm huyu jamaa alikua akihojiwa,sikua najua kama ana ugomvi na Mondi,ndo nikamskia mtangazaji akimchomekea,
 

Aaaaah,
 

Attachments

  • 1450811663926.jpg
    25 KB · Views: 321

Kuchapiwa siri ya ndani🎶🎶🎶🎵🎵🎵🎤🎤🎤🎼🎼🎼
 

Attachments

  • 1450811786145.jpg
    55 KB · Views: 320
Ommy Dimpoz hana kipaji cha muziki ye umwambie kuvaa vikaptura vya kubana na tuviatu twa kike. Halafu ana vimiwani vyake vile vya kurembua macho hasara kabisa yule

Ha ha ha haaaa,huyu ----- apite hapa 😂😂😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…