Nini kimemkuta Paul Pogba?

Nini kimemkuta Paul Pogba?

Paul Pogba ni mmoja ya wachezaji waliotarajiwa makubwa wakati akiwa anakua. Alitajwa kuwa na kipaji kikubwa na uwezo mkubwa wa kucheza kama kiungo.

Akatoka Man Utd baada ya kukosa nafasi akaenda zake Juventus na kukiwasha. Baada ya misimu kadhaa akarudi zake Man Utd kwa usajili wa rekodi ya dunia.

Baada ya misimu sita Pogba akarudi zake Juve huku akiwatuhumu Man Utd kwa kutomthamini.

Lakini tangu ameenda Juve kwa mara ya pili ni kama majeraha yamemuandama na amecheza mechi chache sana.

Pogba sasa ana miaka 30, haimbwi tena, Juve wanafikiria kuvunja mkataba naye, yaani mambo hovyo kabisa. Kuna kipindi alihusishwa na tuhuma za uchawi lakini skendo ikapotea.

Ni wapi alipokosea Pogba? Mchezaji ambaye alitabiriwa makubwa ikiwemo kuchukua ballon d’or

Kuna kipindi alionekana madina yupo hija
 
Paul Pogba ni mmoja ya wachezaji waliotarajiwa makubwa wakati akiwa anakua. Alitajwa kuwa na kipaji kikubwa na uwezo mkubwa wa kucheza kama kiungo.

Akatoka Man Utd baada ya kukosa nafasi akaenda zake Juventus na kukiwasha. Baada ya misimu kadhaa akarudi zake Man Utd kwa usajili wa rekodi ya dunia.

Baada ya misimu sita Pogba akarudi zake Juve huku akiwatuhumu Man Utd kwa kutomthamini.

Lakini tangu ameenda Juve kwa mara ya pili ni kama majeraha yamemuandama na amecheza mechi chache sana.

Pogba sasa ana miaka 30, haimbwi tena, Juve wanafikiria kuvunja mkataba naye, yaani mambo hovyo kabisa. Kuna kipindi alihusishwa na tuhuma za uchawi lakini skendo ikapotea.

Ni wapi alipokosea Pogba? Mchezaji ambaye alitabiriwa makubwa ikiwemo kuchukua ballon d’or
Pogba ni Balotel aliyezubaa, mulemule. Kiburi/jeuri
 
Kuna huyu ndugu yetu wa damu Sadio mane, nayeye ni kitu gani kimemkuta mana haimbwi kabisa.
 

Hapa ndipo ninapowaheshimu Ronaldo na Messi, unahitaji kuwa na heshima ya hali ya juu ili kuendelea kubaki katika viwango vya juu.
Itapita miaka namiaka kupata kizaz chao ambapo mtu anza kuweka rekod zadunia tangu kinda tena wakishinda balloon Dior nabado wanakiwasha hadi kwenye 35+
 
Paul Pogba ni mmoja ya wachezaji waliotarajiwa makubwa wakati akiwa anakua. Alitajwa kuwa na kipaji kikubwa na uwezo mkubwa wa kucheza kama kiungo.

Akatoka Man Utd baada ya kukosa nafasi akaenda zake Juventus na kukiwasha. Baada ya misimu kadhaa akarudi zake Man Utd kwa usajili wa rekodi ya dunia.

Baada ya misimu sita Pogba akarudi zake Juve huku akiwatuhumu Man Utd kwa kutomthamini.

Lakini tangu ameenda Juve kwa mara ya pili ni kama majeraha yamemuandama na amecheza mechi chache sana.

Pogba sasa ana miaka 30, haimbwi tena, Juve wanafikiria kuvunja mkataba naye, yaani mambo hovyo kabisa. Kuna kipindi alihusishwa na tuhuma za uchawi lakini skendo ikapotea.

Ni wapi alipokosea Pogba? Mchezaji ambaye alitabiriwa makubwa ikiwemo kuchukua ballon d’or
Victoire nini kimemkuta Pogba ? Au zile ndumba zime-expire...?
 
Back
Top Bottom