Kati ya watu au wasanii wenye vipaji hapa nchini vya kuimba ni Aslay....
Aslay anao uwezo mkubwa sana tena sana...
Lakini kwa hivi karibuni muziki wake umeanza kuyumba kabisa na hata ile ladha imeanza kupotea kabisa na hata attentions ya watu kwake imepungua sana...
Bado najiuliza nini kimempata Aslay? Je ni utunzi umechokwa? Hana kipya cha kuwapa tena mashabiki?
Nani wakumsaidia Aslay na anguko hili? washauri wako hawaoni tatizo?
Wasalaam........
Tatizo nyimbo zake zina sound zinazofanana,melody zinafanana na hata msg zinafanana.Mimi ningemuomba ajipe likizo kidogo alafu arudi na nyimbo zinachochezeka yaani style nyingine,sio hizi kila siku kulia lia.