dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Bora umemuambia hyu Dr mnk amezid kwa kweliHapa kaenda kuswali Eid kama nani?
Safi sna dad kamwe usikiri ujinga eti huna uhakikaa wa kuwepo had 2030 tutakuwepo sna Hadi tawala tano zipiteNina Imani hiyo. Yes I have faith. In God I trust. 2030 will be here. YES I WILL BE HERE.
Swal zurj snaIla umemuona akiingia kanisani?View attachment 2689125
Dr umepuyanga sna hapa imeshindwa kudhibitisha ukiristo wa jamaa Ako makamba bibie Victoire kakubana snaaSasa hiyo Picha uliyoleta hapa kabeba mtoto hapo ndio anaswali?
Waislamu kina Kitenge unawaona wapo Umra kuhiji unadhani January hana pesa ya kwenda Hija Mecca?
Unazijuwa nguzo 5 za Uislamu?
Onesha post yangu yoyote niliyosema January ni Mkristo.Dr umepuyanga sna hapa imeshindwa kudhibitisha ukiristo wa jamaa Ako makamba bibie Victoire kakubana snaa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile ap
Hahahah unekana Tena wakt wee ndio umechomekeza hbr za makamba Jr kuwa rais ajaeOnesha post yangu yoyote niliyosema January ni Mkristo.
Halafu January siyo jamaa yangu, sina ujamaa na wezi na wahuni.
Itakuwa una makengeza, anza mwanzo wa thread mpaka page hii nioneshe ni wapi nimetetea hawa wahuni na mafisadi.Hahahah unekana Tena wakt wee ndio umechomekeza hbr za makamba Jr kuwa rais ajae
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Acheni kumkataa mtu wenuMumewahi kumuona akiingia msikitini?! January mama yake ni mnaswara na jina la January pia linaasili ya nchi za magharibi mwa Dunia. Sasa huo uislamu wa January ni uislamu wa kufikirika.
Mdini sana huyoWhy umeshtuka sheikh ?
January alipokuwa mdogo alikuwa anaamini baba yake ni mwislamu kumbe siyo mwislamu.
Muulize January kasoma madrasa gani na ni kwa nini atimizi nguzo ya Uislamu kwenda Hija na uwezo anao?
Mwislamu wa Tanzania hawezi kumuita mtoto wake January, Never.
Unazijuwa nguzo 5 za Uislamu?
Hivi wewe unajielewa kweliUnazijuwa nguzo 5 za Uislamu?
Hahahahah hili pia nilishawahi liwazaTokea siku zote ni muislam,ndo hivi karibuni ilisemekana anataka kubadili dini na kuwa mkristo ili aongeze chance ya kuchaguliwa kuwa mgombea urais CCM 2030.
Akiwa ana hapa uwa anatumia kitabu gani ndio tuta pata jibuHahahahah hili pia nilishawahi liwaza
Wagalatia hawatakubali wavaa kobazi waongoze consecutively.
So escape plan janaa ni kufuata dini ya mama yake.
[emoji1787][emoji115]Hapo kamaliza kuswali Eid,au ni kwa vile alijua 2025 ni zamu ya Muislam ndo maana akawa Muislam. Sasa 2030 ni zamu ya mkristo anakuwa mkristo tena. Ikitokea Mpango akawa Rais 2026 .January atakuwa Muislam tena. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni nani!?Kuna mtu alikuwa na nguvu Sana nchi hii kuliko wote na kuna siku aliapa Kikwete hatakuwa Rais....
Angekuwepo Kikwete asingekuwa Rais maana ni miongoni mwa Marais waliotuweka matatizoni Hadi LeoKuna mtu alikuwa na nguvu Sana nchi hii kuliko wote na kuna siku aliapa Kikwete hatakuwa Rais....
Mbona ndo aliepitisha jina na kumpigia Kampeni?Angekuwepo Kikwete asingekuwa Rais maana ni miongoni mwa Marais waliotuweka matatizoni Hadi Leo
Hakika huyo mtu aliona mbali sana
Kwahiyo Babrah ni mzaramoo [emoji849][emoji849]Mama mzaramo...
Baba kutoka kusini mwa amerika..