Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Umewahi kumsikia hata siku moja Yusuph Makamba akiquote aya za Quran?Kibongobongo ni ishara ya dini ya kiislam
Kweli aiseeee kwahio anapenda ukristo kuliko uslamUmewahi kumsikia hata siku moja Yusuph Makamba akiquote aya za Quran?
Lakini Biblia?
HahhhhMo anaona wivu,Barbara siku hizi ni mke wa January Makamba. Mo si alikuwa danga la Barbara. Sasa Mo amelipiza kisasi kwa Barbara. Hajampa mikwanja. Kuchapiwa kubaya nyie.
Lakini January si anataka kubadili dini kwaajili ya 2025?Dini yao inaruhusu mitaala. Walishaoana.
Ni 2030. 2025 Samia wao si yupo?Lakini January si anataka kubadili dini kwaajili ya 2025?
Kwa wanaomuongoza and his network anaweza kuaLakini January si anataka kubadili dini kwaajili ya 2025?
Sasa nikuulize, ndoa ya watu wa dini tafauti inafungishwa kanisani au msikitini!! Kila dini Ina Sheria na taratibu za ndoa ambazo ni tafauti na Sheria na taratibu za dini nyingine, sasa watu wa dini tafauti watafungishwa ndoa kwa Sheria na taratibu za dini ipi?! Ndoa ya kikristo lazima ifungishwe na padri au mchungaji kanisani na ndoa ya kiislamu nayo inataratibu zake ndio maana nikasema hapa Tanzania hakuna ndoa ya muislamu na mgalatia hasa kwa kuzingatia kuwa uislamu kisheria hautambui ndoa ya kiserikali iliyofungishwa nje ya Mila na taratibu za kiislamu.Tanzania haiongozwi na sheria ya Kiislam, kwani kuna Sheria ya Ndoa na watu kuwa na dini tofauti siyo sababu haibatilishi ndoa. Masharti mengine ya dini ni tamaduni za zamani zilizopitwa na wakati. Al Bashir alikuwa anajifanya anaujua na kufuuata Uislam, ila siku wanamkamata wanamkuta na machupa ya Jack Daniels ndani.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Wewe utaona kitakachotokea.Ni 2030. 2025 Samia wao si yupo?
Au wana mpango wa kumwambia Samia apite kwenye mchujo ?Wewe utaona kitakachotokea.
Wewe sasa ndo umesoma Cuba.Mo anaona wivu,Barbara siku hizi ni mke wa January Makamba. Mo si alikuwa danga la Barbara. Sasa Mo amelipiza kisasi kwa Barbara. Hajampa mikwanja. Kuchapiwa kubaya nyie.
[emoji375] NAKAZIAYani mimi nipigie kura Ccm nimerogwa?
Hivi kama tumekosa watu wa kuwapa Urais si bora tugawane nchi tu tuongozwe na machifu wetu kama zamani, hivi watu wahuni kama huyu January Makamba wanapata wapi ujasiri wa kuthubutu tu kuwaza Urais?
Ccm mnatudharau sana Watanzania ila mwisho wenu umefika.
Hawezi kuwa rais huyoYeyote yule.Ila atakuwa mkristo .Ila kusema ukweli ninamuona kabisa Mwigulu atakuwa Rais .Mwigulu ni mlutheri.
Siku zote tunamuona akila kiapo kutumia msahafu au wakristo wanakula viapo kwa misahafu siku hizi?Makamba ni muislamu tangu lini? Mzee Makamba umewahi kumuona msikitini?
By the way mama yake January Makamba ni Mkristo Mkatoliki, kwahiyo si kwamba anabadili dini Bali kubatizwa na kuishi kwenye imani ya Ukristo.
Hiyo misahafu ingekuwa na maana yoyote wasingekuwa wezi.Siku zote tunamuona akila kiapo kutumia msahafu au wakristo wanakula viapo kwa misahafu siku hizi?
Wagala mna mambo
Cuba mtupu!Ndani ya siku hizi mbili amekuwa akipost jumbe ambazo zimewaweka njia panda wadau wa Soka nchini Tanzania na zote ni kama zinamlenga mtu mmoja tu.
Kwa mliosoma Cuba tutafutieni huyo mwamba anayemnyima usingizi dada yetu.
#solomatv_updates
View attachment 2688996
Komredi si lazima iwe hivyo mkuu [emoji1787]Mwanamke kupata cheo,kazi au pesa bila kutumia Ile kitu ni ngumu sana
[emoji1787][emoji1787]Wewe ndo unampikia Mungu chai sio?
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787]Niko hapa,huyu ndugu tako haji kuwa Rais kamwe.