Nini kimempata designer wa gari za Toyota Motors Corporation?

Nini kimempata designer wa gari za Toyota Motors Corporation?

Toyota ni kama ni kama kampuni ya sim ya tecno. Toyota wana varity ya magati meng ambayo bei yake ni ya kati majority interested can afford to buy. Wanauza volume kubwa sana japo gari zao ni cheap. Hawategemei watengeneze magar ya thaman sana ili wapate faida kubwa mf. Benz mercedes.
 
Personally sijaona ubaya wa izo body. Sema wenginl najua zinawatisha sababu zina muundo kama nyoka cobra au black mamba na hasa taa zakebl zilivyo
 
mashoodjr Volvo wanakuja juu sana sasa na hiyo XC 90. Mimi mwenyewe naiangalia niitungue kati ya hii Volvo, Audi Q7/Q5 au Porshe Macan S.
 
Haihitaji rocket science kupata kuelewa kuwa gari za kileo toka Toyota ni mbaya kimuonekano wa nje kulinganisha na matoleo ya miaka ya nyuma, roughly 2006 kurudi nyuma.

Mwanzo tulizoea kuona gari nyingi zikiwa na boxy body shapes (kei cars) ngumu ambazo ndio classic designs miaka ya 80. Kutokana na kukua kwa teknolojia ya aerodynamics ikaonekana kuna haja ya kuzipa zile gari round edges ili kubana matumizi ya mafuta zaidi na kuzipa stability ndio mnamo miaka ya 90 gari zile zile ila zenye shepu ya mayai zikaanza kuundwa na kuuzwa.

Sipingani na mabadiliko ya teknolojia ila napenda kujuzwa zaidi nini kimetokea kwa hawa designers wa Toyota? Je ni kukosa ubunifu ama? Kwanini gari za kizazi cha leo zipo hivi ilihali waliweza kufanya vizuri zaidi hapo awali? Mbona mashirika mengine licha ya kukuwa kwa teknolojia hawatengenezi hivi vituko?
Umenijumbusha Porte
 
Kweli uzuri wa kitu upo kwenye macho ya mtazamaji..... Magari mazuri sana hata nlikua najuliza kwann toyota hawatengenezi??? Sasa nasubur muda uende niweze jipatia kama mtumba from japan kwa bei cheee!
 
wote hapo mtazinunua after seven years / shenzi / wabongo kwa kuponda [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hizo design ni mbaya hata ukisoma baadhi ya forums za ulaya wapo wazungu wanazipondea sana.
 
Mara nyingi Toyota wamekua wakiiga Design za magari ya Ulaya sasa labda wanataka kutoka kivyao ndio hayo mazombie wanayotuletea sasa
 
wangetuachia haya magari yetu pendwa
maxresdefault.jpg


images


images


images
 
Back
Top Bottom