Uchaguzi 2020 Nini kimempata Freeman Mbowe?

Uchaguzi 2020 Nini kimempata Freeman Mbowe?

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Mwenyekiti wa CHADEMA na mgombea wa ubunge jimbo la Hai mhe. Freeman Aikaeli Mbowe ameonekana mara chache sana kwenye jukwaa la siasa kumnadi Mgombea wa Urais kupitia tiketi ya chama hiko.

Mpaka naandika uzi huu leo tarehe 20/09/2020 hajazindua kampeni za kutetea ubunge kwenye jimbo lake la Hai.

Wafuasi wake wamekuwa wakiamini kwamba mgombea wao yupo bega kwa bega na mgombea urais wa CHADEMA lakini jambo hilo ni gumu kuthibitisha kwani ni muda mrefu hajaonekana hadharani.

Kutokana na hulka ya CHADEMA kupenda kuzusha taharuki, inabidi sasa serikali ifuatilie alipo Mbowe ili wasije wakafanya yao kisha wakaangushia jumba bovu serikali kama kawaida yao.

Naamini wewe unaosoma uzi huu umejipanga kumpa kura yako rais Magufuli atuongoze kipindi cha pili.

Maendeleo hayana vyama
 
Mwenyekiti wa CHADEMA na mgombea wa ubunge jimbo la Hai mhe. Freeman Aikaeli Mbowe ameonekana mara chache sana kwenye jukwaa la siasa kumnadi mgombea wa urais kupitia tiketi ya chama hiko...
Not the first time, nor will this be the last time that incumbent ccm candidate Magufuli in Tanzania clearly states that he will not allow development funds to be provided to constituencies where they elect opposition members of Parliament.

#ChangeTanzania
 
Mwenyekiti wa CHADEMA na mgombea wa ubunge jimbo la Hai mhe. Freeman Aikaeli Mbowe ameonekana mara chache sana kwenye jukwaa la siasa kumnadi mgombea wa urais kupitia tiketi ya chama hiko...

Kwani Freeman Mbowe ndiye Mgombea Urais kwa Tiketi ya CHADEMA hadi uwe na 'Kisununu' chote hiki cha Kumuulizia tena Kinafiki na Kisanifu?
 
Kwani hukusoma uzi wa Olesabaya kuwatuma wanafunzi wa Hai Day kumshambulia Mbowe juzi akiwa kwenye jimbo lake, unadhani yupo kimya unataka umuone wapi, yupo jimboni kwake kimya kimya akifanya kampeni.
 
Uwezo wa Lissu jukwaani nimkubwa sana Lissu anauwezo Mkubwa wa Kujieleza,Kuuza sela,kujiuza na kuliteka jukwaa.Hana haja msaidizi wala nini.

Lissu ni Tofauti na Mzee Lowassa ambaye hakuwa na uwezo wowote jukwaani.

Mbowe yupo buzyna shughuli za kichama underground Movement.

NI YEYE.
 
Amirijeshi Magufuli nitamchagua endapo atawaonesha Azory gwanda, Ben Saanane na akitueleza japo kwa kifupi raia wake waliokua wanaelea kwenye viroba Cocobeach waliuliwa na nani.
Kwa hiyo Mbowe kagomeà kampeni hadi Azzory apatikanike?

Mnapoteana sana nyie
 
Not the first time, nor will this be the last time that incumbent ccm candidate Magufuli in Tanzania clearly states that he will not allow development funds to be provided to constituencies where they elect opposition members of Parliament.

#ChangeTanzania
Mshaona dalili za kuangukia pua. Sasa mnasaka sababu
 
Kwani Freeman Mbowe ndiye Mgombea Urais kwa Tiketi ya CHADEMA hadi uwe na 'Kisununu' chote hiki cha Kumuulizia tena Kinafiki na Kisanifu?
Yeye ni mmiliki wa hiko chama.

Sememi mmemficha pori gani?

Hamna mana nyie
 
Kwani hukusoma uzi wa Olesabaya kuwatuma wanafunzi wa Hai Day kumshambulia Mbowe juzi akiwa kwenye jimbo lake, unadhani yupo kimya unataka umuone wapi, yupo jimboni kwake kimya kimya akifanya kampeni.
Simu zinamiminika kutoka Hai wakiamini yupo jijini.
 
Uwezo wa Lissu jukwaani nimkubwa sana Lissu anauwezo Mkubwa wa Kujieleza,Kuuza sela,kujiuza na kuliteka jukwaa.Hana haja msaidizi wala nini.

Lissu ni Tofauti na Mzee Lowassa ambaye hakuwa na uwezo wowote jukwaani.

Mbowe yupo buzyna shughuli za kichama underground Movement.

NI YEYE.
Lisu anakiua chama chake kwenye hizi kampeni
 
Yeye ni mmiliki wa hiko chama.

Sememi mmemficha pori gani?

Hamna mana nyie

Umeambiwa au Umedanganywa na nani kuwa Mimi GENTAMYCINE ni mwana CHADEMA? Ngojea wanaonijua Chama changu watakuja Kukuambia.
 
Back
Top Bottom