Waminepo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2019
- 374
- 254
Acha uongo bhana !Umeachwa mbali sana ! hata vifaa vya kumzikia Lissu vilishanunuliwa .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongo bhana !Umeachwa mbali sana ! hata vifaa vya kumzikia Lissu vilishanunuliwa .
Wivu tuYupo kwake kumbe!
Haya msalimie
We fala sana alafu lofa,ushaambiwa angetatikana angepigwa moja tu No kukosa,ukikosa we mdogo unaingia kibraUmeachwa mbali sana ! hata vifaa vya kumzikia Lissu vilishanunuliwa .
Atakuwa kaenda Dubai kuchukua pesa za uchaguzi. Awe makini tu asilete pesa za kutakasisha kama alivyofanya Kubenea na msaidizi wa Membe. Alete clean money not dirty money!Mwenyekiti wa CHADEMA na mgombea wa ubunge jimbo la Hai mhe. Freeman Aikaeli Mbowe ameonekana mara chache sana kwenye jukwaa la siasa kumnadi mgombea wa urais kupitia tiketi ya chama hiko...
Nakukumbusha tu 2015 Mbowe alifanya kampeni mikutano 3 pekee ila alizoa halmashauri nzima!! Kazi ni kwenu ssaMwenyekiti wa CHADEMA na mgombea wa ubunge jimbo la Hai mhe. Freeman Aikaeli Mbowe ameonekana mara chache sana kwenye jukwaa la siasa kumnadi mgombea wa urais kupitia tiketi ya chama hiko...
Aliko Freeman Mbowe ndiko aliko Membe wanapanga safu ya baraza la mawaziri.Mwenyekiti wa CHADEMA na mgombea wa ubunge jimbo la Hai mhe. Freeman Aikaeli Mbowe ameonekana mara chache sana kwenye jukwaa la siasa kumnadi mgombea wa urais kupitia tiketi ya chama hiko....
Genta achana na huyo popoma hakujui vizuriUmeambiwa au Umedanganywa na nani kuwa Mimi GENTAMYCINE ni mwana CHADEMA? Ngojea wanaonijua Chama changu watakuja Kukuambia.
umepitwa sana ! hii kitu mbona imejadiliwa sana hapa jf!Acha uongo bhana !
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]naona umempa za uso sijui Kama atarudiKwani Freeman Mbowe ndiye Mgombea Urais kwa Tiketi ya CHADEMA hadi uwe na 'Kisununu' chote hiki cha Kumuulizia tena Kinafiki na Kisanifu?
Usimuamshe aliyelalaMbowe alisema Mwaka huu CHADEMA imejipanga,Kuna mikakati mingine wanaeleza na mingine Ni Siri.Ukimya wa Mbowe usiuchukulie POA.he is Busy
Mkuu hii Kali ,mungu akupe maisha marefuAmirijeshi Magufuli nitamchagua endapo atawaonesha Azory gwanda, Ben Saanane na akitueleza japo kwa kifupi raia wake waliokua wanaelea kwenye viroba Cocobeach waliuliwa na nani.
Msemaji wa chama mitandaoni unatoa kauli kama hizi badala ya kutoa majibu Lissu hakuwa chaguo la Mbowe,Mbowe alimtaka Nyalandu kwa sababu aliahidi kugharamia kampeni za urais na wabunge wote,kla wajumbe si watu wazuri tabia zao zinafanana.Hujui kitu chochote , Just Shut up !
Du ! Kuna kipindi nilipoteaga sana jamvini !umepitwa sana ! hii kitu mbona imejadiliwa sana hapa jf !
Jamaa anajitengenezea profile ya Uwenyekiti.Kuna msuguano mkubwa sana ndani ya chadema, inasemekana nia yake sio urais ni uenyekiti na Mbowe naye hataki kabsa kuachia kijiti
Kuna msuguano mkubwa sana ndani ya chadema, inasemekana nia yake sio urais ni uenyekiti na Mbowe naye hataki kabsa kuachia kijiti
Huu ni wakati wa kumtia adabu amirijeshi uchwaraMkuu hii Kali ,mungu akupe maisha marefu
Pole sindano hiyo, ina dawa utapona.Hujui kitu chochote , Just Shut up !