Nini kimempata Lawrence Masha kufikia kuzunguka nyumba za ibada?

Nini kimempata Lawrence Masha kufikia kuzunguka nyumba za ibada?

Yule nabii nae tapeli tu, anafanya ramli chonganishi Sasa je Masha akitoka pale akaenda kumkata panga mkewe?

Yule ipo siku atasababisha majanga makubwa acha serikali iendelee kumchekea tu.
Imewashindwa waganga wa kienyeji hao manabii itawaweza kweli hawajafika worse kuliko waganga wa kienyeji
 
Aliyekuwa Waziri Wa Mambo ya Ndani kipindi cha JK, Lawrence Kingo Masha anazunguka Makanisani walau aweze kupata msaada wa kimawazo, nini kimetokea ? Hana watu sahihi wa kumsaidia kati ya waliomzunguka?
Kuna tatizo kumrudia Mungu wake anayemuabudu?
Kama ww huna imani mwache mwenzako aendelee na imani yake acha kufuatilia maisha yake haitakusaidia chochote
Tafuta pesa
 
Kuna wakati kwenye maisha unahitaji watu wanaoweza kuzungumza na wewe na hata ukiwa huna kitu, Kuna wakati urafiki na wahuni wanaoweza kucheza viwanja vyote ni muhimu, namaanisha wahuni wanaoweza kuishi Tandika, Manzese, Kazulamimba, Masasi,Manhattam, Chicago, Masaki nk hawa wanaexeperience kubwa na maisha kuliko wale waliolelewa na kukulia Masaki peke yake.

Masha atasumbuka sana maana inaonekana inner circle yake haina wahuni zaidi yamasharo na mayoyo waliokuwa bora kipindi akiwa na pesa, Hana elimu ya mtaa zaidi ya maisha yambereko.
 
Haya maisha yanatisha mno nilifilisika badala mkewangu anifariji akawa ndio chanzo cha stress kwangu,hata unyumba hakuwa ananipa kutwa kununa tu mawasiliano na michepuko yake hayakuwa siri tena...mwishoni akahamisha kila kitu akarudi kwao na mama yake na ndugu zake wakati nina pesa walikuwa sana wananipigia simu ila baada ya hapo hakuna hata meseji ila nashukuru nimewajua wema na wabaya,kwasasa mambo yamejiseti ila namba moja kwangu ni mama yangu mzazi
Ila Wanawake sijui waliumbwaje hawaoni mbele kabisaaa. Wanaona hapa karibu tuu Yaan miguuuni kwao.

Ukute hapo anataka kurudi.
 
Masha alikua bonge la brazamen... enzi hizo tuko sekondari yeye ni waziri wa nishati vile....mtanashati nadhifu..anaongea kiswanglish...mtoto kutoka familia bora ..sijui nini kimempata...
Nimeona video yake eti yuko kwa yule mganga sijui nabii kiboko ya wachawi..anaambiwa mke wake ndo mbaya wake imajini😇😇😇😇😇🙄
Nimecheka sanaaa
 
Masha alikua bonge la brazamen... enzi hizo tuko sekondari yeye ni waziri wa nishati vile....mtanashati nadhifu..anaongea kiswanglish...mtoto kutoka familia bora ..sijui nini kimempata...
Nimeona video yake eti yuko kwa yule mganga sijui nabii kiboko ya wachawi..anaambiwa mke wake ndo mbaya wake imajini😇😇😇😇😇🙄
Kwa huyo mganga wanaenda wengi wenye madaraka yao, ni vile tu hawaruhusu kurekodiwa, usistaajabu hata namba moja alishaenda huko
 
Yule nabii nae tapeli tu, anafanya ramli chonganishi Sasa je Masha akitoka pale akaenda kumkata panga mkewe?

Yule ipo siku atasababisha majanga makubwa acha serikali iendelee kumchekea tu.
Kabis,yani..sijui nchi yetu imekumbwa na nini jamani...
 
Back
Top Bottom