bongodili tele
JF-Expert Member
- Jun 8, 2024
- 1,520
- 3,022
Imewashindwa waganga wa kienyeji hao manabii itawaweza kweli hawajafika worse kuliko waganga wa kienyejiYule nabii nae tapeli tu, anafanya ramli chonganishi Sasa je Masha akitoka pale akaenda kumkata panga mkewe?
Yule ipo siku atasababisha majanga makubwa acha serikali iendelee kumchekea tu.
Kuna tatizo kumrudia Mungu wake anayemuabudu?Aliyekuwa Waziri Wa Mambo ya Ndani kipindi cha JK, Lawrence Kingo Masha anazunguka Makanisani walau aweze kupata msaada wa kimawazo, nini kimetokea ? Hana watu sahihi wa kumsaidia kati ya waliomzunguka?
OMG , Masha sasa ameokoka.Ameacha utu wa kale.Aliyekuwa Waziri Wa Mambo ya Ndani kipindi cha JK, Lawrence Kingo Masha anazunguka Makanisani walau aweze kupata msaada wa kimawazo, nini kimetokea ? Hana watu sahihi wa kumsaidia kati ya waliomzunguka?
Masha alimtesa nani ?Acha wamfix si aliwatesa sana aliowaongoza anakula karma
Ilikuwaje unakaa na ubuyu peke yako? tumetemee na sisi hata mkononi.Zimwi la Vitambulisho vya Taifa bado linamwandama.
AliowaongozaMasha alimtesa nani ?
Alikuwa mtu poa sana.
Ila Wanawake sijui waliumbwaje hawaoni mbele kabisaaa. Wanaona hapa karibu tuu Yaan miguuuni kwao.Haya maisha yanatisha mno nilifilisika badala mkewangu anifariji akawa ndio chanzo cha stress kwangu,hata unyumba hakuwa ananipa kutwa kununa tu mawasiliano na michepuko yake hayakuwa siri tena...mwishoni akahamisha kila kitu akarudi kwao na mama yake na ndugu zake wakati nina pesa walikuwa sana wananipigia simu ila baada ya hapo hakuna hata meseji ila nashukuru nimewajua wema na wabaya,kwasasa mambo yamejiseti ila namba moja kwangu ni mama yangu mzazi
Nimecheka sanaaaMasha alikua bonge la brazamen... enzi hizo tuko sekondari yeye ni waziri wa nishati vile....mtanashati nadhifu..anaongea kiswanglish...mtoto kutoka familia bora ..sijui nini kimempata...
Nimeona video yake eti yuko kwa yule mganga sijui nabii kiboko ya wachawi..anaambiwa mke wake ndo mbaya wake imajiniππππππ
Aliyekuwa Waziri Wa Mambo ya Ndani kipindi cha JK, Lawrence Kingo Masha anazunguka Makanisani walau aweze kupata msaada wa kimawazo, nini kimetokea ? Hana watu sahihi wa kumsaidia kati ya waliomzunguka?
Kwa huyo mganga wanaenda wengi wenye madaraka yao, ni vile tu hawaruhusu kurekodiwa, usistaajabu hata namba moja alishaenda hukoMasha alikua bonge la brazamen... enzi hizo tuko sekondari yeye ni waziri wa nishati vile....mtanashati nadhifu..anaongea kiswanglish...mtoto kutoka familia bora ..sijui nini kimempata...
Nimeona video yake eti yuko kwa yule mganga sijui nabii kiboko ya wachawi..anaambiwa mke wake ndo mbaya wake imajiniππππππ
Yaani pale ndio nilimuona ni bonge la mshamba na mjinga.Nape akiona watu kama kina Masha anazidi kuchanganyikiwa alafu mnakumbuka huyu Masha alipotumbuliwa aling"oa hadi vitasa vya milango ya ofisi yake akidai amenunua kwa hela yake?π€£π€£π€£
Kabis,yani..sijui nchi yetu imekumbwa na nini jamani...Yule nabii nae tapeli tu, anafanya ramli chonganishi Sasa je Masha akitoka pale akaenda kumkata panga mkewe?
Yule ipo siku atasababisha majanga makubwa acha serikali iendelee kumchekea tu.