Nini kimempata LIZABONI?

Aliishiwa hela ya bando kwa muda ila naona landlord kashamkatia chake tayari..yumooo
 
Lizaboni is here, very kicking, Leo ameibuka na Uzi kuwa Emma Nchimbi achunguzwe na TAKUKURU!
Bado atamtaja sofia simbaa na hilo halipo mbali sana akili kumukichwa
 
Mkuu mimi nilidhania Lizaboni uenda maisha yake yapo juu sana?
Juu wapi asingepata muda humu jf kutetea ujinga wa ccm angekua busy na mifugo na mashamba yake,kiwandani kwake kuzalisha Kwa wingi na kutafuta wateja.In short hajitambui ndiyo maana anaikumbatia ccm anadhani bila ccm hakuna maisha
Lizaboni
 
Hahahahahaaaaaaaaa! Nitokomeee wapi? Naona bakora zangu zinakuingia barabara
Bakora gani wewe kwani zile picha za kina Tommy and Jerry huwa ni bakora?
 
Juu wapi asingepata muda humu jf kutetea ujinga wa ccm angekua busy na mifugo na mashamba take,kiwandani kwake kuzalisha Kwa wingi na kutafuta wateja.In short hajitambui ndiyo maana anaikumbatia ccm anadhani bila ccm hakuna maisha
Lizaboni
Daaaaa kweli hapo mkuu kuna jambo fulani lina ukweli
 
Juu wapi asingepata muda humu jf kutetea ujinga wa ccm angekua busy na mifugo na mashamba take,kiwandani kwake kuzalisha Kwa wingi na kutafuta wateja.In short hajitambui ndiyo maana anaikumbatia ccm anadhani bila ccm hakuna maisha
Lizaboni
Cc:Lizaboni
 
Anatetea Matumbo ya Mafisadi? Acha utani wewe kwani Lizaboni ni Team Lowassa?
Hakuna mbunge,waziri wala mtumishi wa umma toka chama cha ukawa kafikishwa mahakamani Kwa ufisadi ni ccm tuu
 
Anatafuta kiki. Subiri apike majungu yake aje hapa. Maana kazi yake kubwa ni kuchonganisha tu siku hz
 
Lizabon yumo kwenye hiyo tuhuma ya uvccm.. Hivyo anatafuta namna ya kujiokoa na mkono wa magufuri.. Maana kaka yake yuko mikononi mwa takukuru
 
Anatafuta kiki. Subiri apike majungu yake aje hapa. Maana kazi yake kubwa ni kuchonganisha tu siku hz
Sijdhani kama ataendelea na huo uchonganishi maana nkm wao kamshika kooni ile mbaya
 
Sijdhani kama ataendelea na huo uchonganishi maana nkm wao kamshika kooni ile mbaya
Ohooo.....sijui atatoka vipi. Maana yule jamaa amekalia majungu majungu tu
 
Lizabon yumo kwenye hiyo tuhuma ya uvccm.. Hivyo anatafuta namna ya kujiokoa na mkono wa magufuri.. Maana kaka yake yuko mikononi mwa takukuru
Daaa sasa tutamkosa mtengeneza story za kuchekesha walio nuna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…