Wewe mnafiki sanaSisi wana-ukawa tunajiuliza maswali mengi sana juu ya kuadimika mtani wetu wa jadi maarufu kama Lizaboni hii sasa ni siku ya nne hajatia mguu hapa jamvini, kama kuna mtu ana habari zake tufahamishane maana hakuna YANGA bila SIMBA na siasa siyo uadui
Nakuchukia sana wewe MmawiaSisi wana-ukawa tunajiuliza maswali mengi sana juu ya kuadimika mtani wetu wa jadi maarufu kama Lizaboni hii sasa ni siku ya nne hajatia mguu hapa jamvini, kama kuna mtu ana habari zake tufahamishane maana hakuna YANGA bila SIMBA na siasa siyo uadui
Sisi wana-ukawa tunajiuliza maswali mengi sana juu ya kuadimika mtani wetu wa jadi maarufu kama Lizaboni hii sasa ni siku ya nne hajatia mguu hapa jamvini, kama kuna mtu ana habari zake tufahamishane maana hakuna YANGA bila SIMBA na siasa siyo uadui
Mudawote ni mwanamke? Basi nami nampenda sanaMimi nakupenda sana wewe Mudawote
mawia hivi Lizaboni ni mwanamke au mwanamume? Ameajiliwa na ccm auMwenyewe anasemaga bora mkono uende kinywani
Natania! please and please!Naona tumegongana kwa mgogo
Mkuu kama wanachukizwa Na ufisadi wamvue uwanachama waitishe uchaguzi mwingine kama wanajiaminiHakuna kipindi ccm wanaogopa kufanya uchaguzi wa aina yoyote kama sasa maana wanajua watagaragazwa vibaya sana
Anatetea Matumbo ya Mafisadi? Acha utani wewe kwani Lizaboni ni Team Lowassa?
Mkuu Lumumba hakuna msafi Bali wanazidiana uchafu tu huyu kachafuka hapa huyu kachafuka pale wewe angalia nyuzi za Lizaboni asilimia Mia ni za uchafu Wa wanachama Wa ccm ndio ujue kila MTU mchafu kumbuka nyumba za serkal na jahazi la BagamoyoCcm hawajiamini kabisa ndio maana unaona haya yanayo tokea ya kuzuia viongozi wa UKAWA kukutana na watanzania
Kabisa kabisa ndani ya ccm hakuna wa kumnyooshea mwenzake kidole maana hakuna msafiMkuu Lumumba hakuna msafi Bali wanazidiana uchafu tu huyu kachafuka hapa huyu kachafuka pale wewe angalia nyuzi za Lizaboni asilimia Mia ni za uchafu Wa wanachama Wa ccm ndio ujue kila MTU mchafu kumbuka nyumba za serikali Na jahazi la Bagamoyo
Wewe ngoja utacheka hii mahakama ya mafisadi ndio itawamaliza kila kesi itakuwa Na mwanachama Wao maana ufisadi wote wanahusika kwa hiyo ata wakubwa wakikosa kutakuwa Na wadogoKabisa kabisa ndani ya ccm hakuna wa kumnyooshea mwenzake kidole maana hakuna msafi