Nini kimempata Lucas Mwashambwa?

Nini kimempata Lucas Mwashambwa?

Ninamashaka sana na huyu kijana msambwanda ...sijui kama ccm hawata mtafuna msambwanda wake 🍭🍭🍭..makomredi (Top) sisiemu wapo kibao wanagombewa na makada (bottom) kama nini....siku hizi ccm kuna makada wengi kweli kweli yaani siyo hajabu tena kuwaona tena

Ninamashaka sana na huyu kijana msambwanda ...sijui kama ccm hawata mtafuna msambwanda wake 🍭🍭🍭..makomredi (Top) sisiemu wapo kibao wanagombewa na makada (bottom) kama nini....siku hizi ccm kuna makada wengi kweli kweli yaani siyo hajabu tena kuwaona tena wapo wazi wazi kabisa
Nashukuru Trump amezuia ARV maana kama vikao vya juzi Dodoma wameambukizana virus. Tusubiri muda ukifika mwakani tuwazike kama miziga......
 
Sasa wewe jichanganye hapo kwa ephen uone kipigo kitakacho kupatia. Na ukienda polisi ukisema nimekupiga utashangaa nao wanakuongezea kichapo kikali zaidi kwa kutumia rungu la mkane mwanao
CCM mnajiamini sana...mnaona mnawaona polisi kama chombo chenu Cha kuumiza watu wengine.

Hebu tupia picha ya ephen_
 
Ndugu yangu Lucas Mwashambwa kapatwa na nini siku hizi?

Zamani alikuwa anaandika mabandiko mareefu yenye ucheshi ndani yake na alikuwa anawajibu watu kwa ucheshi vile vile.

Lakini siku za hivi karibuni naona kama maji yamezidi unga. Luka kajilipua na majibu yake yamekaa kishari sana.

Nini kimembadili mkulima Luka asiyetaka cheo au kuteuliwa bali kutetea chama chake?

Hizi lugha za kuudhi za watu wa mjini Luka kazitoa wapi?
Huyu ndo Lukasi
20250213_115504.jpg
 
Ndugu yangu Lucas Mwashambwa kapatwa na nini siku hizi?

Zamani alikuwa anaandika mabandiko mareefu yenye ucheshi ndani yake na alikuwa anawajibu watu kwa ucheshi vile vile.

Lakini siku za hivi karibuni naona kama maji yamezidi unga. Luka kajilipua na majibu yake yamekaa kishari sana.

Nini kimembadili mkulima Luka asiyetaka cheo au kuteuliwa bali kutetea chama chake?

Hizi lugha za kuudhi za watu wa mjini Luka kazitoa wapi?
Lucas Mwashambwa hajapewa Posho zake kwa muda mrefu sana sasa. Kahawa Mbozi imegoma, gharama za uzalishaji ni kubwa mno. Lucas Mwashambwa sasa anajichukia hata mwenyewe, anaona ulimwengu umempa mgongo. Ukimgusa bahati mbaya atakurarua makusudi
 
Ndugu yangu Lucas Mwashambwa kapatwa na nini siku hizi?

Zamani alikuwa anaandika mabandiko mareefu yenye ucheshi ndani yake na alikuwa anawajibu watu kwa ucheshi vile vile.

Lakini siku za hivi karibuni naona kama maji yamezidi unga. Luka kajilipua na majibu yake yamekaa kishari sana.

Nini kimembadili mkulima Luka asiyetaka cheo au kuteuliwa bali kutetea chama chake?

Hizi lugha za kuudhi za watu wa mjini Luka kazitoa wapi?

Ha kupewa nauli ya kwenda Dodoma, Ali omba tumchangie
 
Ndugu yangu Lucas Mwashambwa kapatwa na nini siku hizi?

Zamani alikuwa anaandika mabandiko mareefu yenye ucheshi ndani yake na alikuwa anawajibu watu kwa ucheshi vile vile.

Lakini siku za hivi karibuni naona kama maji yamezidi unga. Luka kajilipua na majibu yake yamekaa kishari sana.

Nini kimembadili mkulima Luka asiyetaka cheo au kuteuliwa bali kutetea chama chake?

Hizi lugha za kuudhi za watu wa mjini Luka kazitoa wapi?
Dishi limeyumba
 
Huyu ni jamaa yangu Sana tangu yupo Iringa anasoma. Machozi yake yakibubujika hufika hadi Iringa😀😃😃😄😂
Mbona huwa hujibu swali Langu.Je wewe ndiye uliyekuwa unafanya uchambuzi wa Masuala mbalimbali ya kijamii katika Redio Ebon ya Iringa kila jumamosi .kipindi kilichokuwa kikiendeswa Na Neema msafiri A.K.A Mama John .ukishirikiana na Mwalimu wa Pale MUCE? Au majina yanafanana tu. Maana naye alikuwa Anaitwa kwa jina lako. Ila kama ndio wewe nakupa pongezi maana mlikuwa mnajitajidi sana kufanya uchambuzi mzuri na usioegemea itikadi za kisiasa.lakini vile vile mlikuwa mkizungumza kwa hoja nzuri.

Kama siyo wewe basi kaa pembeni huko kama abiria anayesubiri usafiri stendi.
 
Back
Top Bottom