DR. MWAKABANJE
JF-Expert Member
- Nov 7, 2012
- 1,976
- 3,130
Wapiga dili wamebanwa!Ni hakika ya kuwa kila member aliyemfuatiliaji wa JF hasa jukwaa la hoja mchanganyiko au siasa atakuwa anamjua vilivyo huyu member MZEE mwanakijiji kupitia Mada zake.
Hadi mwishoni mwa 2015 member huyu ilikuwa si kawaida kukaa kipindi kirefu kama mwezi hivi bila kusoma makala zake nyingi zenye hoja nzito na kuikosoa serikali, lakini binafsi ghafla nashangaa jamaa haonekani humu, uwepo wake humu ni mfu tofauti na awali. Swali je nini kimemkuta huyu member mwenzetu kwani si kawaida yake?
kakamatwa na cheti fakeNi hakika ya kuwa kila member aliyemfuatiliaji wa JF hasa jukwaa la hoja mchanganyiko au siasa atakuwa anamjua vilivyo huyu member MZEE mwanakijiji kupitia Mada zake.
Hadi mwishoni mwa 2015 member huyu ilikuwa si kawaida kukaa kipindi kirefu kama mwezi hivi bila kusoma makala zake nyingi zenye hoja nzito na kuikosoa serikali, lakini binafsi ghafla nashangaa jamaa haonekani humu, uwepo wake humu ni mfu tofauti na awali. Swali je nini kimemkuta huyu member mwenzetu kwani si kawaida yake?
yuko kisiju..Ni hakika ya kuwa kila member aliyemfuatiliaji wa JF hasa jukwaa la hoja mchanganyiko au siasa atakuwa anamjua vilivyo huyu member MZEE mwanakijiji kupitia Mada zake.
Hadi mwishoni mwa 2015 member huyu ilikuwa si kawaida kukaa kipindi kirefu kama mwezi hivi bila kusoma makala zake nyingi zenye hoja nzito na kuikosoa serikali, lakini binafsi ghafla nashangaa jamaa haonekani humu, uwepo wake humu ni mfu tofauti na awali. Swali je nini kimemkuta huyu member mwenzetu kwani si kawaida yake?
Rubii nimecheka sana kwa kuwa namfahamu fika Mzee mwanakijiji,Labda alikua jipu katumbuliwa
[emoji106] [emoji106] [emoji106]Huyo mnafik tu.
Mnafiki mkubwa sana na mzandiki haswa nilikuwa napenda kusoma makala zake Mwana Halisi kipindi hicho ila saivi hana lolote.Huyo mnafik tu.