Nini kimempata Mzee Mwanakijiji?

Nini kimempata Mzee Mwanakijiji?

Rubii nimecheka sana kwa kuwa namfahamu fika Mzee mwanakijiji,

huyu hajatumbuliwa hata kidogo ila kaongezewa majukumu.

Lol leo nitamwambia atupiamo hata message moja wajue yuko hai

teh teh

Anhaaaa msalime mzee
 
Watu wanakuja na kuondoka... zama zinakuwepo na kupotea...
atakuwa ana majukumu mengine... kuna kipindi mtu mambo yanakubana...


cc: mahondaw
 
Ni hakika ya kuwa kila member aliyemfuatiliaji wa JF hasa jukwaa la hoja mchanganyiko au siasa atakuwa anamjua vilivyo huyu member MZEE mwanakijiji kupitia Mada zake.

Hadi mwishoni mwa 2015 member huyu ilikuwa si kawaida kukaa kipindi kirefu kama mwezi hivi bila kusoma makala zake nyingi zenye hoja nzito na kuikosoa serikali, lakini binafsi ghafla nashangaa jamaa haonekani humu, uwepo wake humu ni mfu tofauti na awali. Swali je nini kimemkuta huyu member mwenzetu kwani si kawaida yake?
Kahamia CCM Mkuu, hana hoja hawezi kosoa tena Serikali
 
Walimshindwa wanamchukia sana...wahusika bapa....



Post sent using JamiiForums mobile app
 
Itakuwa anasubiria uteuzi,kaambiwa akaushe na mada zake lumumba wameshazihakiki kuwa anafaa kuwa promoted
 
Back
Top Bottom