Rubii nimecheka sana kwa kuwa namfahamu fika Mzee mwanakijiji,
huyu hajatumbuliwa hata kidogo ila kaongezewa majukumu.
Lol leo nitamwambia atupiamo hata message moja wajue yuko hai
teh teh
[emoji23] [emoji23] [emoji23] anaisbi nje ya nchi. Anatumbuliwaje?Labda alikua jipu katumbuliwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] anaisbi nje ya nchi. Anatumbuliwaje?
Mzee Mwanakijiji amefilisika kimawazo na kiakili kiasi kwamba sasa anawayawaya!amefilisika kimawazo yule.
Kahamia CCM Mkuu, hana hoja hawezi kosoa tena SerikaliNi hakika ya kuwa kila member aliyemfuatiliaji wa JF hasa jukwaa la hoja mchanganyiko au siasa atakuwa anamjua vilivyo huyu member MZEE mwanakijiji kupitia Mada zake.
Hadi mwishoni mwa 2015 member huyu ilikuwa si kawaida kukaa kipindi kirefu kama mwezi hivi bila kusoma makala zake nyingi zenye hoja nzito na kuikosoa serikali, lakini binafsi ghafla nashangaa jamaa haonekani humu, uwepo wake humu ni mfu tofauti na awali. Swali je nini kimemkuta huyu member mwenzetu kwani si kawaida yake?
Huyo mnafik tu.
Sina uhakikaNi mjane?
mzee yupi rubii? Stun au Mwanakijiji
teh teh
sawa mamieWote wote bibie