Salunbote Lyevedu
JF-Expert Member
- Jan 5, 2015
- 669
- 478
Tulishangilia zile 4 kwakuwa mmesema nyinyi mnapiga tu sasa iweje mlizwe zote hizo na lamba lambausiigize umbumbumbu! najua wafahamu kuwa anaye wawezesha kupiga zaidi ya 3 ameyeyuka kama baiskeli ya barafu...
alafu kama unajua kuwa kila ushindi una alama 3 ,haijalishi wa bao 1,2,3,4,5,6,7,8......cha kushangaza mmekuwa mkishangilia bao 4 za penalty kana kwamba zilikuwa na alama 8.
Mkuu... Usimlaumu, huyo njia pekee anayojifariji ni kuangalia wachezaji kutoka Simba SC, mpira hajui afanye nini sasa, akienda michuano ya kimataifa anaishia robo au mchujo wa makundiHuyu jamaa ni mnafiki balaa! Mbona Ngoma hachezi kwenye kiwango chake hatuhoji.Kila siku wewe na simba tu! Mwache Kichuya akiwa bora atatufaa siyo kumponda tu humu.
Nadhani wewe ndo shabiki maandazi unamsakama kichuya huku umesahau hakuna mchezaji kiazi kama chirwa.. Ukaacha kuongelea viongozi wenu kumtema twite na kumbakiza chirwa asie na msaada na timu... Kazi yako ni simba tu. Mliposikia kotei na wenzake hawana vibali mlishupalia bila kujua mnawachezaji wenu pia hawana.. Mkuu jaribu kujichunguza kwanza kabla hujasema chochote. Najua hakuna msemaji wa timu pale bwawani ila hata kama ni nafasi ya usemaji wa timu hautafutwi kwa kumshutumu kichuya wakati mna mizigo mingi tu pale bwawani huisemi.. Unazi ukizidi sana unakuwa kipofuusihangaike kwa kuzunguka chini ya uvungu.
linganisha mechi lukuki alizocheza Mavugo na mechi kadhaa alizo cheza Chirwa.....Licha ya kuwa wote wameingia msimu mmoja.
nani amecheza mechi chache na kutupia mabao lukuki?
jibu swalai kwanza ......
kama hujui hata hili wewe utakuwa mshabiki maandazi.