HamaKweli JF nayo imepoteza mvuto
Sio huyu jamani ila ID zimefanana kiasi, yule ni boya tuWe si umetoka kumwambia mwenyekiti wako amfute Nnape uanachama wewe?
Jambo lenyewe si hilihili?
we kweli hujielewi!
Msamehe kachanganya, kuna jamaa ana id ya mangi pia ila sio wewe! Watu washavurugwa hahahahahWe unajielewa kweli? Huo usengerema wa mwenyekiti na nape nimeusema wapi?? Wewe watakuwa wanakufaidi.
Kweli sio chama lakini kuna kosa gani kuwa na urafiki na uyo uliyemtaja mkuu? Kwaiyo naseeb abdul anachaguliwa watu wakuwa nao mkuu?Kwani issue ya Daud Albert Bashite ni ya kichama!!!! Ni chama gani hicho mkuu???
Nahisi ilo ndio wanalolitaka mkuu.Wanataka ashabikie chama cha wauza ngada
Mkuu wachache watakuelewa na kuna tabia imejengeka ya kushinikiza wanachokipenda wao na ukiwa tofauti matusi na maneno mengi ya kukudhihaki.Kuna tabia inajengeka kwa vijana wengi wa kitanzania hasa wa mitandaoni inabidi kuikemea. Wanaolilia uhuru wa mawazo wanataka tu ule uhuru wa kutukana na kudhalilisha wengine ndo maana yeyote aliye na mawazo tofauti na wao wanaishia kumtusi matusi ya nguoni mimi naiita ni tabia ya kukosa hekima na hili pepo la kujiona tu kwamba ukiwa upande wa upinzani wewe ndo upo sahihi na wewe ndo mzalendo naona kama ni ukengemfu. Upinzani kwani wao ndo malaika kwamba wanachowaza wao ndo kipo sahihi muda wote? . Wewe mbona unataka uhuru wa kumkosoa Magufuli ila wengine wakitaka uhuru wa kuwakosoa mnaowapenda mnaanza kuwatukana matusi yasiyo ya kistaarabu? Jamii forums sijui imekuwaje yaani ile intellectualism inapotea kumejaa watu ambao sio Great Thinker anymore sababu Great Thinker anayedai anaamini katika uhuru wa mawazo kwanini aanze kumtukana mtu yule ambaye ana ideology tofauti? Huwezi kumkosoa Diamond bila ya kumtukana? Hivi tangu lini kutukana kumekuwa ni kukosoa?
Weka ushahidi mkuuKiufupi ni Bashite anamtumia Diamond kujisafisha but I think dogo kuna nazani atakua kwenye listi ya ngada sasa maybe Bashite kampa masharti amsafishe ili asimtaje ndomana Simba amejikuta kaingia cha kike
Kashaomba poo. Kanyanyua mikono juu NA chonde chonde nyingi.kesho gwajima ana kazi nae
WANAMUZIKI KAMA DIAMOND NDIYO WANAO FANYA VIONGOZI WAJIONE VIMUNGU WATU NDANI YA CCM.Watanzania wamekuwa mbogo na wameanza kumtemea cheche mwanamuziki nguli nchini....Simber!
Si kitu chepesi msanii kukubali kuweka rehani kazi yake, tena inayomlipa sana just kwa kutaka kuendekeza urafiki!
...Mimi akili yangu inakataa kuwa jamaa ameridhia kuinunua vita ya wenziwe, kuna jambo tu nyuma ya pazia....!
Inawezekana na yeye naye wame-"mroma", ingawa tunamuona uraiani lakini huwezi jua saa nyingine amepewa condition kumtumikia Bashite au kupotezwa kwenye ramani kama yule wa Yanga!
Hebu tumpe muda huyu simber labda naye siku moja atakuja kutuambia yake ya moyoni na tutamuhurumia!
WANAMUZIKI KAMA DIAMOND NDIYO WANAO FANYA VIONGOZI WAJIONE VIMUNGU WATU NDANI YA CCM.Watanzania wamekuwa mbogo na wameanza kumtemea cheche mwanamuziki nguli nchini....Simber!
Si kitu chepesi msanii kukubali kuweka rehani kazi yake, tena inayomlipa sana just kwa kutaka kuendekeza urafiki!
...Mimi akili yangu inakataa kuwa jamaa ameridhia kuinunua vita ya wenziwe, kuna jambo tu nyuma ya pazia....!
Inawezekana na yeye naye wame-"mroma", ingawa tunamuona uraiani lakini huwezi jua saa nyingine amepewa condition kumtumikia Bashite au kupotezwa kwenye ramani kama yule wa Yanga!
Hebu tumpe muda huyu simber labda naye siku moja atakuja kutuambia yake ya moyoni na tutamuhurumia!
mimi nadhani hebu tufikirie zaidi mifumuko ya bei ya vyakula ndilo la msingi tukalitolea mapovu kuliko kushabikia vitu visivyo na tija kwa mustakabali wa nchi yetu