Mulamula ametumbuliwa. Maswali ni Mengi lkn yapo mawili makubwa yaliyoaibisha nchi yetu kimataifa, yamkini yamesabishwa na makosa ya balozi zetu (zilikuwa chini ya Mulamula) kushindwa kuratibu mambo vizuri?
1. Je, ni ile kadhia ya mama kupandishwa school bus kwenye mazishi ya malkia?
2. Je, ni ile clip iliyoaibisha nchi kwa kumuonesha mama akigonga glasi na Rais Nyusi kisha akamnywesha Rais Nyusi na kunywa mwenyewe kwa glasi ileile?
Au tuhuma hizi zina ukweli?
Tuna haki ya kuuliza na kujua maana wanakula kodi na tozo zetu.
1. Je, ni ile kadhia ya mama kupandishwa school bus kwenye mazishi ya malkia?
2. Je, ni ile clip iliyoaibisha nchi kwa kumuonesha mama akigonga glasi na Rais Nyusi kisha akamnywesha Rais Nyusi na kunywa mwenyewe kwa glasi ileile?
Au tuhuma hizi zina ukweli?
Tuna haki ya kuuliza na kujua maana wanakula kodi na tozo zetu.