Nini Kimepelekea Kupanguliwa Kwa Uongozi Wote wa Juu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Habari ndugu Wana jukwaa..

Kimbunga Cha pangua pangua ya mh.Rais Dk Samia kimesomba uongozi wote wa Juu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuanzia aliyekuwa Waziri wa Wizara na Makatibu Wakuu wake wote.

Amepona aliyekuwa Naibu Waziri ambae ameteuliwa kuwa Waziri.

Swali,kulikuwa na nini hasa kilichopelekea Kuondolewa Kwa Uongozi mzima wa Juu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi.

Walioondolewa Hawa hapa👇


Walioteuliwa Hawa hapa 👇
 
Dkt Bashiru aliwahi sema , Wananchi wanahitaji usalama wa Chakula, na Chakula ni Wizara ya Uvuvi, mifugo, kilimo ..


Hiii Wizara aliiwezea Mh Mpina tu, ngoja tumuone Mh Ulega , huyu pia Huwa ni mzuri kiutendaji, kiubunifu.
 
Dkt Bashiru aliwahi sema , Wananchi wanahitaji usalama wa Chakula, na Chakula ni Wizara ya Uvuvi, mifugo, kilimo ..


Hiii Wizara aliiwezea Mh Mpina tu, ngoja tumuone Mh Ulega , huyu pia Huwa ni mzuri kiutendaji, kiubunifu.
Mfanyabiashara wa Vifaranga waliofia Airport toka Ubelgij anaweza kuwa Mpemba
 
Hao watu ni wazembe wa wazi jamani watu wanapiga pesa Sanaa na wizi wa wazi kwenye uvuvi na mifugo serikali KAZI kuongeza tozo za mifugo ila ufanisi hamna,wale wasimamizi wa mifugo na uvuvi na mafisaadi wa kutupwa ukipewa kitengo hukooo wewe kibongobongo umeula utakula rushwaa maana hakuna wa kufatilia kabisa
Mi naona Bora wametoka

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tangu usikie ile habari ya MABILIONI YA SAMIA KWA WAVUVI mwezi agosti 2022, umeona kazi yeyote kwa wavuvi ikifanyika hadi sasa?

Hao jamaa walishiriki kutufanyia wavuvi utapeli, wameweka pesa zetu kwenye FIXED ACCOUNT YA MIEZI 6 ILIWAPATE RIBA, hivi karibuni ndio walikuwa kwenye mpango wa kuzitoa hizo pesa baada ya kuvuna RIBA kwa BAHATI MBAYA MAMBO YAMEKOROGEKA DAKIKA ZA MWISHO..

Ndiyo imekuwa hivyo mjomba

 
Mi nadeal na mifugo naona serikali inavyopteza mapato watendaji wanakula rushwaa Sanaa yaani jamani dahh...inatia huzuni na hasira mnoo...hii nchi jamani dahh
Ngoja mashimba apumzike mi sioni Cha maana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Huenda hii ndio sababu..
 

Udokozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…