Nini kimepelekea sarafu ya Tanzania kulingana thamani na sarafu ya Kenya hivi karibuni?

Nini kimepelekea sarafu ya Tanzania kulingana thamani na sarafu ya Kenya hivi karibuni?

MoseKing

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2017
Posts
4,928
Reaction score
8,976
👇👇👇👇

Screenshot_2022-03-22-18-19-27-548_com.opera.mini.native.png
 
We jamaa acha ushamba kama hujui kitu ulizia ueleweshwe

Ulichopost hapo ni upande wa kwanza bei ya kununua pesa ya kenya na upande wa pili ni bei ya kuuza

Acha upimbi
Anyway, siko hapa kubishana na kiasi chochote.

Mimi Niko Mpakani, kiuhalisia sasa hivi Hakuna tofauti kubwa.
 
Anyway, siko hapa kubishana na kiasi chochote.

Mimi Niko Mpakani, kiuhalisia sasa hivi Hakuna tofauti kubwa.
Acha kuwadanganya watu wewe, sasa ukiwa mpakani ndio utachange kwa rate tofauti na mwingine anatechange bureau de change dar es salaam? Shilingi moja ya KE ni approximately Tsh 20 ya TZ. Hata chati yako uliyoleta inaonyesha hivyo. Kama ungekuwa unauelewa hata wa kununua na kuuza pesa za kigeni usingeleta hapa huo upuuzi.
 
Back
Top Bottom