pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
.....alafu inabidi avute msokoto mwingine ili arudi kwenye hiyo form ya hapo awali. Kisha akirudi kwenye uzi ndio anaharibu kabisaaa .....and the cycle continues...Mkivuta bangi msiwe mnaingia JF maana mtaandika vitu kisha baadaye unajishaanga kama ni wewe uliyeandika hivyo.
Kumbe hujui kitu?
Zao la Ndalichako hiliLabda hizo data za hapo Lumumba
Wewe ni killazza hatari...ulicholeta ni upupu bado unavutana na watuSiyo kila kitu lazima uchomeke UCCM na UCHADEMA.
Siasa za Mbowe zimekuharibu kabisa akili. Mmebakiza kujitoa muhanga tu.
Punguza mirungi kijana. Maana sasa hivi nasikia mirungi inashuka chini, mnainamishwa hatari.Mkivuta bangi msiwe mnaingia JF maana mtaandika vitu kisha baadaye unajishaanga kama ni wewe uliyeandika hivyo.
Jamaa alikurupuka kajitia aibu sana.Mkivuta bangi msiwe mnaingia JF maana mtaandika vitu kisha baadaye unajishaanga kama ni wewe uliyeandika hivyo.
Hazijalingana bhana ila BEI YA KUNUNUA NA BEI YA KUUZA 1KSH NI 20KSHS....