Nini kimesababisha Msanii Mrisho Mpoto ' Kulamba Matapishi ' yake ghafla na kwenda Kinyume na ' Nadhiri ' aliyoiweka?

Not God say Allah
Hizo met hali nyingine za matapishi hutolewa Ukiwa na wasio na kinyaa wenzako.

Hamna hata staha ya maandiko, halafu mnajigamba humu kuwa eti "wasomi".

If such are the priests, God bless the congregation.
 
nimeshangaa huyo bwana kuvaa viatu wale clouds wameweka ndio taarifa ya habari kabisa ya saa 1 da
wafu fm
 
Kosa lako, ni kushirikisha wanajf ili hali sababu ulizozisikia kuhusu kuvaa kwake viatu umebaki nazo wewe. Na si ajabu hata nadhiri ya kutovaa viatu ni wewe uliisikia ingawa ni kweli wengi walikuwa wanamwona jamaa akipekua pekua bila kujua kuwa jamaa anaiishi nadhiri yake.

Kutovaa viatu kulikuwa na sababu na sasa kuvaa viatu, kuna sababu. Ili mjadala uwe mzuri, ni vizuri sababu zote zingewekwa hapa kwaajili ya wachangiaji kuzilinganisha.

Aidha naungana na wanaosema ya watu, waachie watu. Ni vizuri kushughulika na yako au mambo muhimu kwako, jamii na taifa kwa ujumla.
 
Hizo met hali nyingine za matapishi hutolewa Ukiwa na wasio na kinyaa wenzako.

Hamna hata staha ya maandiko, halafu mnajigamba humu kuwa eti "wasomi".

If such are the priests, God bless the congregation.
Udini utakupasua kichwa mama. Yani wewe kila kitu lazima uingize udini na kuponda watu wasio wa imani yako.. you are insane
 
Mrisho mpoto,,,
Ni mnafiki wa hali ya juu sana! Mimi nilishamuelewa siku nyingi sana!
 
Usifananishe bange na mambo ya kijinga
 
Usiihusishe Bangi kwenye mada zako za kipuuuzi, Nyambafu kabsa wewe!!! Mtoto wa kiume unakalia kufuatilia maisha ya watu... Harafu ulivyomjinga zaid unaingiza kitu muhimu km bangi kwenye upuuzi wako..
 
Masharti ya kampeni yambana Mrisho Mpoto, sasa kuvaa viatu


SATURDAY MAY 25 2019






Kwa ufupi
Bila shaka unamfahamu msanii maarufu nchini, Mrisho Mpoto jinsi anavyoimba mashairi yake maeneo mbalimbali ndani na nje ya nchi huku akiwa hajavaa viatu

ADVERTISEMENT

By Phinias Bashaya, Mwananchi pbashaya@mwananchi.co.tz
Bukoba. Bila shaka unamfahamu msanii maarufu nchini, Mrisho Mpoto jinsi anavyoimba mashairi yake maeneo mbalimbali ndani na nje ya nchi huku akiwa hajavaa viatu.
Safari hii atalazimika kuvaa viatu kutokana na kubanwa na masharti ya Wizara ya Afya katika kampeni yake ya ‘Nyumba ni Choo’ iliyozinduliwa leo Jumamosi Mei 25, 2019 kwa Mikoa ya Kanda ya Ziwa.
Mratibu wa kampeni ya kitaifa ya usafi wa mazingira, Anyitike Mwakitalima amesema leo mjini Bukoba kuwa msanii huyo anatakiwa kuchagua moja ili aendelee kuwa na sifa za kushiriki kampeni hiyo.
Amebainisha wizara hiyo ina miiko na taratibu zake zinazoendana na usafi wa mazingira na haiwezi kuwa sahihi kumtumia msanii asiyevaa viatu kwa kuwa hatua hiyo inaleta uwezekano wa kuambukizwa magonjwa.
Akizungumza na waandishi wa habari leo mratibu huyo amesema kampeni hiyo itafika hadi vijijini, akisisitiza ni lazima Mpoto avae viatu.
Kwa upande wake Mpoto amesema anakubaliana na sharti hilo na kubainisha kuwa si kwa sababu anapenda pesa bali kuunga mkono juhudi za Serikali.
Pia Soma
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Mbona toka zamani alishasema kuwa anavaa viatu sehemu hatarishi na bafuni na toilet.
 
Kama ameamua kuvaa viatu sawa tu! Hakuna tatizo
 
Tunaweza dhani muanzisha mada amemlenga mhusika aliye mtaja kumbe sivyo. Hebu nami niendelee kutafakari kidogo.
 
Ninachokumbuka Sikh anahojiwa na clouds360 alisema haikuwa ridhaa take kutembea peku,Marehemu Ruge ndiyo alimwambia afanye hivyo.
 
kwani ni mangapi unayoyapanga ktk maisha yako wewe kama wewe mkuu, lakini baadae unayatupa kapuni kwa kuyaona hayana maana?

#mungu peke yake ndio hupanga pasipo kupangua daima lakini sio mwanadamu..
 
Hizo met hali nyingine za matapishi hutolewa Ukiwa na wasio na kinyaa wenzako.

Hamna hata staha ya maandiko, halafu mnajigamba humu kuwa eti "wasomi".

If such are the priests, God bless the congregation.
mimi nimesoma kwa kujitahidi sana kwa kweli nimepatwa na kinyaa mno, ahsante ajuza kwa kuliona&kulikemea hili FaizaFoxy.[emoji109]
 
Mkuu hujasema kauli hiyo ameitoa lini, nimemuona siku ya ijumaa tarehe 24 alfajiri uwanja wa ndege na alikua anasadiri kuelekea Kilimanjaro..alikuwa anapekua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…