Nini kimesababisha Msanii Mrisho Mpoto ' Kulamba Matapishi ' yake ghafla na kwenda Kinyume na ' Nadhiri ' aliyoiweka?

Nyumba ni choo. Choo chenyewe anaingia peku peku na kusambaza bacteria.
Au masharti ya mganga yamelegezwa?
 
Hizo met hali nyingine za matapishi hutolewa Ukiwa na wasio na kinyaa wenzako.

Hamna hata staha ya maandiko, halafu mnajigamba humu kuwa eti "wasomi".

If such are the priests, God bless the congregation.

Msamehe bure. Ni utoto tu, akikua ataacha.
 
Akili kubwaaa
 
Chezea vingine sio shekeli
 
Mbona hata wewe una mindi his fvkn business ya kufuatilia nadhiri za mpoto

Angalia usije ukawa unayemtukana hivi akawa ni Mwanaume wa Shoka ( wa pembeni ) ambaye ndiyo huwa anampa raha kubwa na ya ' Kibaiolojia ' iliyotukuka ' Mamaako ' pale ' Babaako ' akiwa ameshindwa Kutekeleza vyema Jukumu lake.
 
Hizo met hali nyingine za matapishi hutolewa Ukiwa na wasio na kinyaa wenzako.

Hamna hata staha ya maandiko, halafu mnajigamba humu kuwa eti "wasomi".

If such are the priests, God bless the congregation.
Kwan bado umevimbiwa daku mpaka uone kichefu chefu???
 
Angalia usije ukawa unayemtukana hivi akawa ni Mwanaume wa Shoka ( wa pembeni ) ambaye ndiyo huwa anampa raha kubwa na ya ' Kibaiolojia ' iliyotukuka ' Mamaako ' pale ' Babaako ' akiwa ameshindwa Kutekeleza vyema Jukumu lake.
genta naemujua Mimi asinge andika comment ya kukosea wazazi wa wengine adabu wala kuongea mambo ya kuumiza wengine kisaikolojia,bado naimani na genta na huu muandiko ni wamemuibia nywila yake sasa wanamchafua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…