Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Kwa team inavyocheza ikiwa na ikipokwa mpira, hata uwe na kipa na mabeki gani.. watafungwa tu!Tualiambiwa n moja ya kuta bora Sana hapa nchini hata ulipue kwa ICBM za Korea ya kiduku haubomoki
Lakin maajabu kila mechi risasi za gobole zilipita lakn Bado uliitwa ukuta imara kwan wahusika hawakuliona Hilo kuwa huu ukuta una matobo au mashimo?
Haya Jana umebomoka kabisa tuziba viraka au tutaujenga upya
ELECTRICAL FENCE IS NO MORE
Rafiki yangu mmiliki wa Maisha bar nasikia naye alifanya Makubwa Huko.Meneja wa baa ya West gate Sumbawanga mjini jana kagawa bia moja moja bure kwa kila mtu anayeingia ktk baa yake kusheherekea ushindi wa Yanga.
Wamemdhalilisha mgeni rasmiNashukuru tu kaka yangu onyango walimuacha mapema la sivyo zigo la mavi wangembebesha yeye.
Kosa kubwa la Simba ni kuiita Ukuta wa Yeriko, wakati wanafahamu ukuta wa Yeriko uliangushwa enzi za zamani na laana juu.Tualiambiwa ni moja ya kuta bora Sana hapa nchini hata ulipue kwa ICBM za Korea ya kiduku haubomoki.
Lakini maajabu kila mechi risasi za gobole zilipita lakini Bado uliitwa ukuta imara kwani wahusika hawakuliona hilo kuwa huu ukuta una matobo au mashimo?
Haya Jana umebomoka kabisa, tuzibe viraka au tutaujenga upya
ELECTRICAL FENCE IS NO MORE
Kiufundi bado Simba ni timu yenye mabeki bora wakati Inonga na Che Malone. Tatizo hapa ni nani anawalinda mbele yao hawa mabeki wa kati pamoja na mabeki wa pembeni? Timu ikipoteza mpira mbele hasa kwa Saidoo nani anarudi kupambana kuutafuta mpira kabla haujaleta madhara kwa mabeki? Jibu ni hakuna kwa nini sasa mabeki na viungo wasizidiwe. Simba ianze kukabia juu na si kukaba kwa macho na washambuliaji waache kutembea uwanjani wakati wamepoteza mpira kizembe.