Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Tualiambiwa ni moja ya kuta bora sana hapa nchini hata ulipue kwa ICBM za Korea ya kiduku haubomoki.
Lakini maajabu kila mechi risasi za gobole zilipita lakini Bado uliitwa ukuta imara kwani wahusika hawakuliona hilo kuwa huu ukuta una matobo au mashimo?
Haya Jana umebomoka kabisa, tuzibe viraka au tutaujenga upya
ELECTRICAL FENCE IS NO MORE
Lakini maajabu kila mechi risasi za gobole zilipita lakini Bado uliitwa ukuta imara kwani wahusika hawakuliona hilo kuwa huu ukuta una matobo au mashimo?
Haya Jana umebomoka kabisa, tuzibe viraka au tutaujenga upya
ELECTRICAL FENCE IS NO MORE