Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Japan hawajaingia kwenye soko la magari ya umeme kikamilifu. Bado wame stick to old schoolView attachment 3150276 Nini kimewakumba Japan?
Trump ana hasira nao hawa wachina balaah kati ya 10 nafasi 6 zao sio kawaida.
Utawala safari hii DT utakuwa na vituko zaidi dhidi ya hawa wachina ana hamu nao sana.
Gari nyingi za umeme za China zinauzwa huko na kwa population yao sia ajabu kwa takwimu.View attachment 3150276 Nini kimewakumba Japan?
Trump ana hasira nao hawa wachina balaah kati ya 10 nafasi 6 zao sio kawaida.
Utawala safari hii DT utakuwa na vituko zaidi dhidi ya hawa wachina ana hamu nao sana.
Hawafanyi joint venture nimeona Volkswagen wamefanya na wachina nafikiri inaweza kuwasaidia au hawapo interested kwenye EV japo soko huku ndipo lilipo kwa sasaJapan hawajaingia kwenye soko la magari ya umeme kikamilifu. Bado wame stick to old school
na soko bado wamelishika maana demand bado ni kubwa
Ku transist kutoka huku kuja kwa electrical vehicle si rahis
Wachina wanayo ya 2000kmToyota hawajataka kujitumbukiza humo kwa sababu kwao Hybrid tech wanaona inafanya vizuri sana. Wametengeneza gari za umeme ila kwa kubipu sana wao wanataka hadi wawe na teknolojia nzuri ya battery maana ndio kikwazo. Wanafukuzia Solid State battery ambayo italeta mapinduzi ya kutembea walau kilometre 1000 na kuchaji kwa asilimia 80 ndani ya dakika 10.
UmemalizaKwa nyakati hizi ukiwasumbua wachina unasumbuka pia...ukitaka kuwapoteza unapotea kwanza ndipo mengine yafuate.
On full battery sijaonaWachina wanayo ya 2000km
Hatari japo DT ni kichaa kasema ataweka 100% tariffs kwa EV kutoka China au atazipiga pin kabisa zisiguse U.SNo, huelewi mambo
Trump unakumbuka alichowafanyia Huawei, alidhan kawakomoa kumbe ndo akawapa mileage wao kufanya innovation zaidi, na mwezi jana Huawei wamekamilisha OS yao ambayo haitegemei Android (ya mmarekani) kwa chochote kile.
Personally namkubali Trump lkn kwa ile move alikoseaga sana. Cheki mauzo ya simu china, kampuni za kimarekani zipo nyuma huku Huawei ikiongoza huko.
Kwa lugha rahisi ukimzingua mchina ni umempa advantage na umepoteza kitu wewe. Naona kabisa this time Trump hatokuwa strict na China sababu wao vikwazo vya kiuchumi havina maana tena kwao. Na BYD alivyo na akili ameanza kuingiza EV zake Africa kwa kasi sana, hata ukimnyima soko la USA, yeye akishika soko lake nyumbani na Africa ameshafunga kazi hapo, humkamati hata kwa dawa
Ndio, kwenye hybrid japan wamebet big. Sio toyota tu hata nissanToyota hawajataka kujitumbukiza humo kwa sababu kwao Hybrid tech wanaona inafanya vizuri sana. Wametengeneza gari za umeme ila kwa kubipu sana wao wanataka hadi wawe na teknolojia nzuri ya battery maana ndio kikwazo. Wanafukuzia Solid State battery ambayo italeta mapinduzi ya kutembea walau kilometre 1000 na kuchaji kwa asilimia 80 ndani ya dakika 10.
Ni Hybrid.On full battery sijaona
Migodi yetu tayari tumekwisha wauzia Australia ondoa matumaini yoyote uliyo nayo.Inasemekana metal muhimu za kutengeneza battery nzuri kwa EV zimegundulika ukanda huu wa Africa mashariki na kati, hivyo tutegemee vita kupigwa zaidi ukanda huu wa maziwa makuu.