Ni Hybrid.
Chinese electric vehicle giant BYD has unveiled an upgraded version of its plug-in hybrid technology, promising a driving range of 2,100 kilometres on a fully charged battery and a full tank of fuel.
Ndio, kwenye hybrid japan wamebet big. Sio toyota tu hata nissan
Japo inaonekana hybrid zinafanya vizuri pia sokoni.
Kwenye EV technology yako ya battery ndo kila kitu, ukishazipatia battery unabaki kucheza na designs za body tu kama anavyofanya BYD
Mafuta katika magari sioni kama yataendelea kupewa kipaumbele kikubwa katika miaka ijayoMagari ya umeme ni scam na japan hayuko tayar kuwaibia wateja wake
Nimeona sehemu japana especially toyota anatengeneza engine ya itakavyotumia mafuta kidgo na rafiki kwa mazingira
watamshenyeta kweli . soko la ev sasa ndio mpango mzima.kumbuka hapo rusiski a.ka rusia(ˈrʌʃ. ən/) amejiwekeza mali ambako ku a madini muhim kabisa kwa kuzalisha betri.na kinachoenda kutokea mchina hatakubal unyonge.kwanza byd zake ni.hatariView attachment 3150276 Nini kimewakumba Japan?
Trump ana hasira nao hawa wachina balaah kati ya 10 nafasi 6 zao sio kawaida.
Utawala wa DT safari hii utakuwa na vituko zaidi dhidi ya hawa wachina ana hamu nao sana.
Afrika hii mnayonunua magari mitumba au afrika ya mbinguni ??No, huelewi mambo
Trump unakumbuka alichowafanyia Huawei, alidhan kawakomoa kumbe ndo akawapa mileage wao kufanya innovation zaidi, na mwezi jana Huawei wamekamilisha OS yao ambayo haitegemei Android (ya mmarekani) kwa chochote kile.
Personally namkubali Trump lkn kwa ile move alikoseaga sana. Cheki mauzo ya simu china, kampuni za kimarekani zipo nyuma huku Huawei ikiongoza huko.
Kwa lugha rahisi ukimzingua mchina ni umempa advantage na umepoteza kitu wewe. Naona kabisa this time Trump hatokuwa strict na China sababu wao vikwazo vya kiuchumi havina maana tena kwao. Na BYD alivyo na akili ameanza kuingiza EV zake Africa kwa kasi sana, hata ukimnyima soko la USA, yeye akishika soko lake nyumbani na Africa ameshafunga kazi hapo, humkamati hata kwa dawa
Ndo umeamka leo? Vita vinapiganwa zaidi ya miaka 10 huko Congo kwenye Cobalt na Lithium. Congo sehemu Inaitwa Manono ni sehemu yenye reserve kubwa ya Lithium Duniani zaidi Mamia ya mamilioni ya Tani.Inasemekana metal muhimu za kutengeneza battery nzuri kwa EV zimegundulika ukanda huu wa Africa mashariki na kati, hivyo tutegemee vita kupigwa zaidi ukanda huu wa maziwa makuu.
Ethiopia ameshazuia hio mitumba ya kutumia mafuta......kwa sasa ni gari mpya za umeme tu japo kwa wananchi inakua taabu ila naona wameamua kujilipua, na hapo mchina anakenua tu..........baadae soko la gari mtumba za umeme litahamia china kama ilivyo Japan kwa sasa kwenye gari za mafutaAfrika hii mnayonunua magari mitumba au afrika ya mbinguni ??
SawaEthiopia ameshazuia hio mitumba ya kutumia mafuta......kwa sasa ni gari mpya za umeme tu japo kwa wananchi inakua taabu ila naona wameamua kujilipua, na hapo mchina anakenua tu..........baadae soko la gari mtumba za umeme litahamia china kama ilivyo Japan kwa sasa kwenye gari za mafuta
Eti kampuni za simu za Kimarekani China zimefanyaje?No, huelewi mambo
Trump unakumbuka alichowafanyia Huawei, alidhan kawakomoa kumbe ndo akawapa mileage wao kufanya innovation zaidi, na mwezi jana Huawei wamekamilisha OS yao ambayo haitegemei Android (ya mmarekani) kwa chochote kile.
Personally namkubali Trump lkn kwa ile move alikoseaga sana. Cheki mauzo ya simu china, kampuni za kimarekani zipo nyuma huku Huawei ikiongoza huko.
Kwa lugha rahisi ukimzingua mchina ni umempa advantage na umepoteza kitu wewe. Naona kabisa this time Trump hatokuwa strict na China sababu wao vikwazo vya kiuchumi havina maana tena kwao. Na BYD alivyo na akili ameanza kuingiza EV zake Africa kwa kasi sana, hata ukimnyima soko la USA, yeye akishika soko lake nyumbani na Africa ameshafunga kazi hapo, humkamati hata kwa dawa
Nini kinalikumba bara la Afrika, uzalishaji wa binadamu vilaza miaka na miaka ?View attachment 3150276 Nini kimewakumba Japan?
Trump ana hasira nao hawa wachina balaah kati ya 10 nafasi 6 zao sio kawaida.
Utawala wa DT safari hii utakuwa na vituko zaidi dhidi ya hawa wachina ana hamu nao sana.
Kosa kama hili aliwahi kulifanya kampuni ya Nokia. Wakati wenzake wakiwa wanajiandaa kutumia teknolijia za kisasa (android, iOS n.k) yeye alibaki anashangaa kwenye mfumo wa vitochi. Ni zaidi ya miaka kumi ila hadi leo yupo taabaniToyota hawajataka kujitumbukiza humo kwa sababu kwao Hybrid tech wanaona inafanya vizuri sana. Wametengeneza gari za umeme ila kwa kubipu sana wao wanataka hadi wawe na teknolojia nzuri ya battery maana ndio kikwazo. Wanafukuzia Solid State battery ambayo italeta mapinduzi ya kutembea walau kilometre 1000 na kuchaji kwa asilimia 80 ndani ya dakika 10.