toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,612
- 4,721
Jamani magroup ya biashara FB? Yamedorora sana wengi mmeliona hilo tatizo?
Nakumbuka 2017, 2018, mpaka 2019 mwezi November palikua moto yaani matangazo na biashara vilikua vinatrend balaa, yaani unahudumia comments na wateja hadi unachoka.
Siku hizi hakuna kitu pamedorora sana kiasi kwamba ukiona kapost tangazo lina comment 10 unaduwaa kazipataje wakati mwanzo tangazo mpaka comments 900
Nini kimeikumba facebook business groups?
Najiuliza hadi nashangaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka 2017, 2018, mpaka 2019 mwezi November palikua moto yaani matangazo na biashara vilikua vinatrend balaa, yaani unahudumia comments na wateja hadi unachoka.
Siku hizi hakuna kitu pamedorora sana kiasi kwamba ukiona kapost tangazo lina comment 10 unaduwaa kazipataje wakati mwanzo tangazo mpaka comments 900
Nini kimeikumba facebook business groups?
Najiuliza hadi nashangaa
Sent using Jamii Forums mobile app