Dada wakati unajipanga kwenda kwa madaktari bingwa wa akina mama ni wazi kwamba kwa sasa damu yako(Hb) ni ndogo sana.Na pia utakua unauambukizo wa bakteria(bacterial infection)
Cha kufanya ni kula vyakula vya kuongeza damu mf maharage,matembele,maini na matunda mf machungwa kwa wingi.
Njia mbadala ni kutumia dawa zifuatazo
1:sylate 500mg tds 5/7
2😛rimulut N 5mg tds 10/7
3:ferrous +folic capsules 1bd15/7
Kama ndani ya siku tatu hujaweza kuonana na daktari bingwa Basi nenda Pharmacy Kanunue Ceftriaxone injection na uende hospitali au dispensary ya karibu wakuchome 1gm od 5/7 wakupe na flagyl 400mg tds 7/7
Hizo dawa zitasaidia kukata damu kwa muda na kukuongezea damu wakati huo huo zikiua wadudu wanaoweza kuwa wanasababisha uambukizo!
N:B Tumia hizi dawa tu kama wewe si mjamzito na umeshindwa kumwona daktari kwa sababu yoyote haraka
Ni vizuri kwenda kwa madaktari bingwa ili wa rule out kama una uvimbe au imbalance ya vichocheo vya mwili