Hilo swali kwenye bold ni zuri sana. Wenyewe watakujibu eti siyo wezi. Eti mtu mzima haibiwi! Inahu! Siyo mwizi ulipelekwa kwenye altare??? Siyo mwizi huyo mwanaume amekutolea mahari? Siyo mwizi, mbona unakumbatia mto na mnakaa kuangalia saa jamaa asijechelewa kwa THE WIFE?
Nyumba kubwa kuna wanaofikia hatua ya kutolewa mahari,sas hapo sijui bado utamuita mwizi au mke mwenzio?
am sure nyumba kubwa wapo wanaume wanaosema vibaya, hata hao wababa unaofanya nao kazi wanasema in public kuwa hizo nyumba ndogo wanazichezea but wakiwa na hizo nyumba ndogo hawasemi hivyo, wanawapamba kwa maneno matamu including kuwaponda wake zao, hizo ni trick za wanaume bana just kuwaonyesha hao nyumba ndogo kuwa wanawapenda, hata kama hawamaanishi.
Anayesemwa in public na anayesemwa in private (kwa nyumba ndogo) nani anayedhalilika (na kudanganywa?)
Afu nawatamani saana hao nyumba ndogo wababe wakutane na nyumba kubwa mie ndiyo watajua kama MWIZI ana power or not.
Utawafanya nini? Labda umuue huyo unayemwita mwizi wako! Mi mwenyewe huwa nawatamani sana hao nyumba kubwa wanaojifanya wao wanapower ya kunyasanyasa na kudhalilisha wadada wa watu ndo tulicheze vizuri hilo sebene!
Afu watu wengine naona mmekimbilia kusema ooh uta fight na wangapi; Hivi is it worth kuishi na mume chupi mkononi??? Is it worth kuishi na mume mwenye mahawara kumi? Am talking of a decent man siongelei mwanaume aloshindikana; kwani with my self esteem siwezi ishi na mume chupi mkononi.
No problem, my dear i am not offended. Ila kuhusu the edits you see, thats me correcting some spelling errors na sio the core meaning of what i wanted to say. All in all , my beef is with cheating men , what they are doing and/or can do to us women. Tunapigana, tunadhalilishana, you cant imagine wengine wanatumia hata other men to rape other women, and all this for what? To me, its best mtu aki deal with the true cause i.e MEN, that way you'll be nipping the problem at the bud, otherwise kama Mr. ni "Chupi mkononi" utagombana na wanawake wangapi?.
Alafu kuna wanaume wengine ni waongo sana, wanadanganya hawajaoa kumbe wana wake na watoto juu! E.g hawa wanaosoma/kusafiri sehemu za mbali na wake zao wanayafanya sana haya mambo, sasa na hapa sijui tutawalaumu nyumba ndogo? Tena wengine wanajihalalishia makazi nakuongezea watoto kabisaa! Kazi ipo!
siyo njaa 2 hata kuwashwa kwao kunachangia!! cjui ni vyakula au ni nini?!! wanawake w cku hizi wanawashwa kishenzi ......
Afu watu wengine naona mmekimbilia kusema ooh uta fight na wangapi; Hivi is it worth kuishi na mume chupi mkononi??? Is it worth kuishi na mume mwenye mahawara kumi? Am talking of a decent man siongelei mwanaume aloshindikana; kwani with my self esteem siwezi ishi na mume chupi mkononi.
Mtu kama kipipi anapotoa comment halengi mtu bali anaongelea in public, so wewe unaweza usiishi na mume chupi mkononi lakini kuna wanawake wanaishi na waume wa dizaini hii! Sasa kwa watu wa type hiyo, ndo hayo maswali yanapokuja!
Ukitoka hapo kwa kumkimbia huyo chupi mkononi unaelekea kuwa 'nyumba ndogo' kwa chupi mkononi wa mwenzako maana chupi mkononi ni wengi kuliko chupi kabatini,mlio nyumba kubwa mshukuruni Mungu,wengi wenu mmekuwa nyumba kubwa by chance not by love.
Ndio hapo sasa inabidi either huyo mwanaume akupe CV ya mkewe au ufanye homework yako. Am telling you nyumba kubwa nyingine haziingiliwi.
Ukifanya homework yako ukagundua the wife ni wale wa low self esteem you are safe.
Na hapo kwenye bold inabidi ujue kuwa ugomvi hauna mpaka. Na hauko sahihi kusema huko huko makwenu wakati you have made yourself part of it.
Kuwa nyumba ndogo kazi mama inabidi uwe tayari kwa makovu.[/QUOTE]
Sorry nyumba kubwa hapa watu wa dizaini hii wanaotangaza ugomvi waume zao wanabebwa kuliko unavyodhani, kifupi wananyumba ndogo za kumwaga.
Hao wanaoishi na wanaume chupi mkononi hata niki comment the whole page sitaweza kuwasaidia; kwani ndivyo walivyo na ndiyo maana nikwahita low self esteem. Naongelea mwanamke anayejua position yake kama MKE.
Afu watu wengine naona mmekimbilia kusema ooh uta fight na wangapi; Hivi is it worth kuishi na mume chupi mkononi??? Is it worth kuishi na mume mwenye mahawara kumi? Am talking of a decent man siongelei mwanaume aloshindikana; kwani with my self esteem siwezi ishi na mume chupi mkononi.