nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
Wewe bwana kuna mipingo huku duniani mbona wewe cha mtoto,hadi ninafikia kuwa nyumba ndogo ujue nimeji koki vya kutosha, anayeruka ameagana na nyonga, kama ukali simba ni mkali lakini anazalishwa. so ujue na ukali wako kama wanawake wa shoka wameamua kuingilia anga zako watakuweza tu. By the way kama hupendi mumeo atembee na wanawake na pia uanataka awe wa kwako peke yako unamuweka tu kwenye pochi yako uwe unatembea nae kila uendako....
siyo njaa 2 hata kuwashwa kwao kunachangia!! cjui ni vyakula au ni nini?!! wanawake w cku hizi wanawashwa kishenzi ......
siyo njaa 2 hata kuwashwa kwao kunachangia!! cjui ni vyakula au ni nini?!! wanawake w cku hizi wanawashwa kishenzi ......
Huku si kwangu! Nimepita tu. Lakini kuna mambo matamu sana. Hongereni Wanajukwaa hili.
Wengi hapa mnajadili kama kuwa mke mwenza ni manza. Katika historia nzima ya binadamu mwanamume siku zote amekuwa na wake wengi. Hivi ndivyo ilivyo hata katika ulimwengu wa wanyama. Wanyama wachache sana wanakuwa na mke mmoja. Mababu zetu hawakuwa na kipimo. Na wakati huo hili lilikuwa jambo la kawaida kabisa.
Nadhani watu wengi wamekuwa brain-washed na wazungu. Wazungu, labda kutokana na mazingira yao, hawawezi kukurukakara hizi, ndipo wakazipiga marufuku. Ki-stamina na hata ki-mpangilio wa maisha, ni wazungu wachache wanaoweza hivi. Lakini hata wao, huko nyuma sana walikuwa wana 'wingi wa wake' katika jamii zao.
Sasa swali langu ni hili. Imagine kama watu wote waume wanakuwa waaminifu...utawapeleka wapi mamilioni ya wanawake ambao wamezidi idadi ya waume. Huko Jamaica ratio ya mwanamume kwa wanawake ni 1-7! Au mnataka kusema kuzini ni bora kuliko kuoa? Kwa vile wanaume wengi-kwa tabia aliyowaumba M/Mungu- hawatosheki na mwanamke mmoja. hata huko Ulaya, kila siku kuna maskendo. Ni jambo lisilowezekana kimaumbile. Ni kama hii ya 'utawa' ambayo siku hizi mwasikia kumbe baadhi ya mapadre wana sehemu ya kujisaidia!
Hii ndiyo maana wanawake nchini Iran walipiga kura ya kupinga sheria ya kulazimisha 'mke mmoja'. Wanawake, ndio waliopinga na si wanaume!
Ninaposoma maoni ya watu humu najikuta nikikumbuka wimbo wa Marijani Rajabu wa Mwanameka.
Kwa wenye muda wafungue hapa,
Kuna mengi ya kujifunza, na naona yeye Marijani anamlaumu zaidi Mwanameka, sio Mussa...
Wanaume wachache ndio maana tunakubali kuwa nyumba ndogo mkuu, pia nyumba ndogo inafaidi sana kupita nyumba kubwa,
kila mwanamke akiolewa dream yake ni kuwa na mume mwaminifu atakayempenda milele, lakini ikiwa tofauti huna jinsi ni kukubali
matokeo tu, mie binafsi sitapenda mume akinioa atoke na mie kadhalika, lakini unambanaje sasa, nimeshuhudia wanawake wanaojiamini wengi kwamba wanaweza kuwabana waume zao wasitoke, lakini hao wanaume ndio wanakuwa wanacheat kupita maelezo,msijiamini sana
kupitiliza mlioolewa, weka asilimia kidogo ya mashaka ili likikukuta usishangae sana
kuna nyumba ndogo huwa hazina mzaha, zikiiba zimeiba, unakuja fumania unapigwa wewe na mumeo, tena bila huruma,bora utulie kwako
msubirie mumeo huko nyumbani mpigane msutane coz yeye ndiye mliingia mkataba nae
Wasichana wanajikuta na mahusiano na waume za watu kwa sababu nyingi, wengine wamedanganywa wanakuja gundua muda ushapita, pengine madhara yashajitokeza, hapo wa kulaumiwa ni nani, hali ya kiuchumi pia inasababisha, sababu waume za watu ni watunzaji wazuri sana since wanajua majukumu ya mwanaume kwa mwanamke unlike single guys,pia sababu nyingine ni mapenzi tu, sababu unapompenda mtu haijalishi kama anamwenza au vipi, ni jukumu lake mwenye mahusiano kuamua kusuka ama kunyoa
juzjuz tu hapa nimenusurika kuwa mke wa mume wa mtu, na alikuwa radhi kabisa anioe mke wa pili, hii nayo imekaaje, ningesema yes sasa hivi ningekuwa nasambaza kadi