Israel karudi anaomba peace chezea kipigo anacho pokea kwa Hamasi.
Israel hakuna alicho kifanya kwa Hamasi, yeye anakimbilia kufanya genocide, we kwa kuwa kichaa unadhani kuvunja majumba, kuvunja hospital, mashule na kuzuia chakula kisingie Gaza ndio vita 😄
Vita sikwenda uwa vitoto visio na hatia au wabawake na vizee wasio na hatia.
Kuivunja karibu Gaxa yote silaha ziko wapi alizo piga, so alisma ziko kwenye majumba, hakuweza onyesha hata risasi zaidi ya kutuonyesha bollywood movie pale Al shifa hospital 😄
Wanaume Hamasi wanaonyesha video namna wanavyo zisambaratisha silaha za Israel na jeshi Lake.
Matekwa wengine hao leo jitazamie dogo ona mashoga wenzako wanavo tekwa.
View: https://youtu.be/eGiea6RPeg8?si=MVfOihCfDbUJOPWw