Nini kinaendelea Gaza

Nini kinaendelea Gaza

Walio anzisha ndo wakulaumiwa Acha wajute Iwe fundisho Kwa Vizazi vyao Vyote Na hii ndo Adhabu hawata rudia ujinga Ule wakikumbuka Wataacha watafute Njia Nyingine Sio kuvamia Jamii za Watu na Kuua Alfu utake Lawama Kwa Watu
 
Nyie nyamazeni hi ni mipango ya Allah alisha ahidi wa Israel watafanya hayo alafu atawaangamiza time inakaribia.
Sindikiza na Aya ya kwenye Qoran basi maana Quran ni Maneno ya Allah - au ni Taqiyya
Kufa kila mtu atakufa tu akifa kwa kuliwa au kufa kwa maradhi au kwa kawaida tu kila mmoja ameandikiwa atakufa vipi.
Nabii wenu Issa nae aliandikiwa kufa? Nabii Idris nae alikufa? All Muslims are so Hippocrates.... Someni kwanza Elimu ya Dini na sio kudanganya Umma punda wewe..
Mimi nawaonea huruma walio baki wameshikilia misalaba, wakiamini wanaenda peponi sababu Yesu kachukua dhambia zao 😄
According to kiongozi wenu Zakir Naik kuwa any Muslim ambeye hamuamini Yesu huyo sio Muslim.

Jesus ni Njia and hakuna yeyote atakaye enda Pepono bila kumuamini Yesu.. Bible Confirm, and Qoran pia ime confirmed wewe unasubiri nini Holly Son Yusu bin Mariam Al Masiya.

Nadhani Adiosamigo Madrassa ulikuwa unapigwa sana na Maalim wako au nyie ndio mlikuwa mnabakizwa wenzako wakiruhusiwa.. Nasikia Maalim wengi ni mabasha


Wekeni mioyoni mwenu all Taqiyya Muslims anything msemayo we will be going to use against you in ICJ
 
Tatizo lenu nyie wavaa misalaba mmelaniwa hamjifahamu, bibilia zinasema ukitundikwa msalabani unakuwa umelaniwa na nyie mnautukuza msalaba.

Ikiwa bibilia hamzifahamu mtafahamu mtu anaye dai haki yake? We aje jambazi akutokea nyumbani kwako achukue ardhi yako utamuwacha?

Tatizo hamfahamu Bani Israel ni watoto wa Yakobo, hao wa Palestine ni katika wajukuu wa kizao cha Yakobo.

Huyu Netanyahu hana damu ya Bani Israel ametokea Ukraine, we huoni ma Jews wale orignal wanapinga siasa ya hao mazionist.

Wayahudi na warabu wanaishi miaka hawana ugomvi na warabu, wapo nchi nyingi za kiarabu wapo Yemen, wapo Iraq, wapo Iran pia sa we tatizo lako msalaba umekuvuruga akili.
Dogo nilikwambia jana uwe unajitaidi kuficha ujinga ulio nao kichwani mbele za watu kwa kusoma chapisho lako kabla ya kuweka public

Kuna muda kama unaona upo too emotional postpone kuposti chapisho lolote jenga hoja

achana na myth za kidini hii Sio vita ya dini ni vita ya kujikomboa kutoka kwenye ukoloni wa Israel ni vita ya kupigania kusimamisha taifa huru la Palestine as a sovereignty state
 
Dogo nilikwambia jana uwe unajitaidi kuficha ujinga ulio nao kichwani mbele za watu kwa kusoma chapisho lako kabla ya kuweka public

Kuna muda kama unaona upo too emotional postpone kuposti chapisho lolote jenga hoja

achana na myth za kidini hii Sio vita ya dini ni vita ya kujikomboa kutoka kwenye ukoloni wa Israel ni vita ya kupigania kusimamisha taifa huru la Palestine as a sovereignty state
dogo mimi sinilisha kujibu jana mjinga anamjua mjinga mwenzake, ndio mana mlevi akisha lewa anadhani wenzake wote walevi kama yeye 😄

Mimi nikiongelea msalaba na kusudia wakristo. sababu mnaishangilia Israel eti taifa lenu.

Kuna ujinga zaidi ya huo ujinga, si bora mimi ujinga wangu una unafuu, kuliko ujinga wako na wenzako wakristo😄

Niliwaombeni wapi kuna andiko lipo kwenye vitabu vyenu vinasema Israel ni taifa la Mungu, hamna afu mnajidai eti mmesoma, mngekuwa wasomi mngekubali ujinga huo 😄

Tazameni kipigo cha leo hukoTela Aviv, afu nyie msikilizeni kichaa wenu Netanyahu anawambia kaimaliza Hamasi



View: https://youtu.be/i5ad89fCcSo?si=lbC_WoslWzcGtw9X
 
dogo mimi sinilisha kujibu jana mjinga anamjua mjinga mwenzake, ndio mana mlevi akisha lewa anadhani wenzake wote walevi kama yeye 😄

Mimi nikiongelea msalaba na kusudia wakristo. sababu mnaishangilia Israel eti taifa lenu.

Kuna ujinga zaidi ya huo ujinga, si bora mimi ujinga wangu una unafuu, kuliko ujinga wako na wenzako wakristo😄

Niliwaombeni wapi kuna andiko lipo kwenye vitabu vyenu vinasema Israel ni taifa la Mungu, hamna afu mnajidai eti mmesoma, mngekuwa wasomi mngekubali ujinga huo 😄

Tazameni kipigo cha leo hukoTela Aviv, afu nyie msikilizeni kichaa wenu Netanyahu anawambia kaimaliza Hamasi



View: https://youtu.be/i5ad89fCcSo?si=lbC_WoslWzcGtw9X

upo sawa.
 
Hivyo hivyo sudan congo na afrika ya kati . Huwa nashangaa kuona watu wakifurahi vita na kutengeneza upande kama timu za soka
Mkuu; Haiko hivo mkuu. Katika hali ya kawaida, binadamu yeyote huwa na mang'amuzi au mitizamo yake katika matukio mbalimbali..
Hili la Gaza lipo (1)Kundi la wanaoona Gaza(Wapalestina)wanaaonewa na kunyanyaswa kwa hiyo wanadhulumiwa.
(2) Lipo kundi linaloona IDF alichokozwa na ana haki ya kujitetea
(3) Tena lipo kundi linaloona kwamba wote (IDF na HAMAS) hawajatumia busara vya kutosha kwa kujitosa kwenye vita ili kutafuta suluhu.
(4.) Lipo kundi la mtizamo wa kiImani(Dini).
(5) Lipo kundi lenye chuki ya Utaifa (race)wa wahusika e.g. kundi linalowachukia Waarabu na lile linalowachukia Waisraeli. Ukiwauliza sababu watazunguka-zunguka na hawana jibu sahihi.
(6)Lipo kundi linalopenda kusikia habari za mapigano ya ki-vita , ni nani zaidi Japokuwa wanajua watu wanauana kwao si hoja sana.
Kwa hali kama ilivyobainishwa hapo juu 1-6 utayaona makundi hayo katika comments zao.
Hakujawahi kuwa na makundi Tofauti sita+ kwenye timu mbili zinazocheza kwa wakati mmoja uwanjani e.g. Simba vs Yanga.
 
Israel karudi anaomba peace chezea kipigo anacho pokea kwa Hamasi.

Israel hakuna alicho kifanya kwa Hamasi, yeye anakimbilia kufanya genocide, we kwa kuwa kichaa unadhani kuvunja majumba, kuvunja hospital, mashule na kuzuia chakula kisingie Gaza ndio vita 😄

Vita sikwenda uwa vitoto visio na hatia au wabawake na vizee wasio na hatia.

Kuivunja karibu Gaxa yote silaha ziko wapi alizo piga, so alisma ziko kwenye majumba, hakuweza onyesha hata risasi zaidi ya kutuonyesha bollywood movie pale Al shifa hospital 😄

Wanaume Hamasi wanaonyesha video namna wanavyo zisambaratisha silaha za Israel na jeshi Lake.

Matekwa wengine hao leo jitazamie dogo ona mashoga wenzako wanavo tekwa.


View: https://youtu.be/eGiea6RPeg8?si=MVfOihCfDbUJOPWw

Hili igizo limekosa ubora wa muonekano wa picha lakini kikubwa zaidi pia halina uhalisia na waigizaji wake hawana weledi katika maigizo. Therefore - Tupa kule.
 
Nyie nyamazeni hi ni mipango ya Allah alisha ahidi wa Israel watafanya hayo alafu atawaangamiza time inakaribia.

Kufa kila mtu atakufa tu akifa kwa kuliwa au kufa kwa maradhi au kwa kawaida tu kila mmoja ameandikiwa atakufa vipi.

Mimi nawaonea huruma walio baki wameshikilia misalaba, wakiamini wanaenda peponi sababu Yesu kachukua dhambia zao [emoji1]
Msaraba ndio kinga yao!
 
Msaraba ndio kinga yao!
Wao kwenye bibilia wanasema mtu akitundukwa msalabani ujuwe kalaniwa, na Yesu wanadai alitundikwa kwenye msalaba ili abebe dhambi zao.

Yani ni kama hivi wanasema Yesu kalaniwa, na wao wanautukuza huo msalaba, hapo ndio huwa nawashangaa sana.
 
Mbona utu hakuna wala hofu mauaji yameendelea sana.

Mambo ni mengi sana watu wamekosa hofu ya Mungu ingekuwa dini zingefuatwa basi vita ingesimama.

Shetani amejinyanyua sana tumechoka kusikia kila siku watu wanakufa.

Vita isimamishwe basi watu kweli wanaangalia hiki kinachofanyika.

Usawa uko wapi nini maana y

Mbona utu hakuna wala hofu mauaji yameendelea sana.

Mambo ni mengi sana watu wamekosa hofu ya Mungu ingekuwa dini zingefuatwa basi vita ingesimama.

Shetani amejinyanyua sana tumechoka kusikia kila siku watu wanakufa.

Vita isimamishwe basi watu kweli wanaangalia hiki kinachofanyika.

Usawa uko wapi nini maana ya uhai au utu?


Iko hivi Israel ni Taifa liloundwa tangu mwanzo kwa Maelekezo ya Mungu kwa Nabii IBRAHIMU.

Hilo liko wazi kabisa.

Israel ni Adui mkubwa wa Shetani na wafuasi wake .

Kuna watu wanashangaa kuona ni kwa nini Pale kwenye nchi ya Israel kuna mashoga na wasagaji halafu linaitwa Taifa la Mungu.

Jibu ni rahisi wale wapo pale kama Mbwa wa kuwalinda Wana Wa Mungu ambao ni WA chache na kamwe hawashiki upanga au bunduki kuua watu.
Mbwa anafugwa kuhakikisha binadamu anaishi kwa usalama . Kwa hiyo hatuwezi kutegemea watu watakatifu wajenge nchi ya Israel katika siasa za Dunia ambazo zimewekewa misingi na watu waovu.
Watu waovu watamalizana wenyewe kwa wenyewe.
Mwisho wa Yote kusudi la Mungu aliloliweka kwa Ibrahimu na uzao wake litatimia. Nchi ya Israel inajengwa na watu wema na waovu lakini Taifa la kimungu la Israel linaundwa na watakatifu ambao wametawanyika Dunia nzima ikiwemo kwenye ardhi ya Israel ambayo ndipo makao makuu ya ahadi ya taifa Teule.


Wale mashoga na wasagajo na watovu waliopo pale Israeli ni ama makapi na magugu yaliyoota pamoja na ngano mwisho wa Yote yatatupwa motoni na ngano safi itawekwa ghalani.

Vita kubwa ya shetani ni kuhakikisha kuwa Maandiko hayatimii kama yalivyonenwa na manabii . Lakini pia ahadi ya kuwa na Taifa la Israel na Yerusalemu kuwa makao makuu halitimii na likitimia watu waovu wanakwenda kukaa pale na kuhakikisha mwana wa Mungu Yesu Masihi hapewi nafasi ya kuwa mfalme wa wafalme wa Dunia nzima .

Cha ajabu sasa mpaka Wakristo wanaiangalia Israel kwa macho ya damu na nyama na kusema sio Taifa la Mungu mana Kuna watu wenye dhambi wanaoishi pale. Kuna watu wanafikiri kuwa Taifa la Mungu litaonuka likiwa na katiba na majeshi ya kidunia na watu watakatifu wasio na dhambi ndani yake huku wakiwa na biashara zao na shughuli za kidunia kama kawaida .
😂😂😂😂😂. Bila wao wenyewe kujiuliza wao ni watakatifu?
 
Back
Top Bottom