Nini kinaendelea katika mitandao ya simu?

Sidhani kama upo sahihi, call diverting ni tofauti kabisa na call interference, anacholalamika mdau ni kuwa Kuna mtu anaingilia maongezi ya simu zake na hii kimawasiliano ni kesi sio huduma.
Call diverting ni kwamba simu zako zikipigwa zinapokelewa upande wa pili bila ya wewe kujua
 
Nachojua airtel na tigo wanaya censor baadhi ya maneno kama hela na sex. Ukiyaweka kwenye msg, msg husika haimfikii unae mtumia. So kama kwako msg yenye neno hela inafika its likely airtel ndo wanafanya hiyo michezo.
Hilo la maneno linahusiana na nini mkuu,maana kweli mm mwenyewe nikiandika neno sex kwenye msg haiendi[emoji23]
 
kuhamisha ng'ombe kutoka kata moja kwenda nyingine elfu 5000 nnchi ngumu hii
 
Hizo mambo za sms za kutuma kwenda namba fulani zimebaki kwa Mitandao ya Airtel na Halotel kwa sasa system zao bado hawajaziweka vizuri. Kuwa tu makini.
 
Hizo mambo za sms za kutuma kwenda namba fulani zimebaki kwa Mitandao ya Airtel na Halotel kwa sasa system zao bado hawajaziweka vizuri. Kuwa tu makini.
Wakati zinakuja Randomly sikuwa naona ajabu ila kwa sasa nashangaa kuona kuwa kila nikiongea tu issue ya hela na kukata simu sms inafuata. Kama siyo utaratibu niliyojiwekea na umakini ningeshalizwa sana. Ila utaratibu wangu ukitaka nikutumie hela nipe namba yenye jina lako na si namba uliosajiliwa na mtu mwingine, njia ya pili uende kwa wakala unipe code nitoe hela basi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…