Nini kinafanya wanawake kujifungua kwa 'operation'?

Nini kinafanya wanawake kujifungua kwa 'operation'?

mkuu naomba niunganishe,
naomba unieleze kidogo what is abruption placenta na je husababishwa na nini??nilipata tatizo hilo wakati wa kujifungua na lilisababisha mtt wangu kufa.please naomba unisaidie kuelewa.
thanks.
Pole sana.
 
Kale kamchezo kinawafanya washindwe kusukuma mtoto nawashauri baadhi ya wanaume waache
 
Inategemea mwananke na mwananke au ntu na ntu ila sababu kuu ni hizi
1.Mtoto mkubwa kuliko size ya njia
2.Kuna baadhi hawataki kutanua njia wanaogopa itakua sio still picha na mnato
3.Wanaogopa kusemwa maana wengine chamber aka mtaro washazibuliwa
4.Uoga wa maumivu ya kujifungua(Kuzaa kwa uchungu)
No 3 hyo haswa ndio tatizo kubwa
 
Back
Top Bottom