Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Nimekuwa najiuliza nini hufanyika kwenye vyoo vya mahoteli makubwa kutokuwepo na harufu ndani pamoja na kwamba vyoo hivyo havina madirisha tofauti na majumbani ambamo mtu na hasa mgeni akiingia kama rooms zipo karibu na toilet basi wenyeji mnabaki kujibaraguza kelele puani haidhibitiki.