Nini kinaikumba Japan? Mwakani India inaipiku na kuwa Taifa la tatu lenye uchumi mkubwa Ulimwenguni

Nini kinaikumba Japan? Mwakani India inaipiku na kuwa Taifa la tatu lenye uchumi mkubwa Ulimwenguni

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Japani ilipitwa na China 2010 na kutoleqa nafasi ya pili, kumbuka Japani imekaa nafasi ya pili kwa miaka 40.

Sasa mwakani tena inatolewa nafasi ya 3 hivyo kuangukia nafasi ya 4 ambayo nayo huenda ikaja kuotelewa tena.

Ninacho kiona Japani ni kufuata mkumbo wa USA, mfano India kwa sasa anapata mafuta kwa bei chee sana kutoka Urusi, Ilihali Japani yeye akiwa ameungana na Marekani kuiweka Urusi vikwazo amnavyo vinaithori sana Japani.
Screenshot_20241124_100104_com.android.chrome.jpg
 
Japani ilipitwa na China 2010 na kutoleqa nafasi ya pili, kumbuka Japani imekaa nafasi ya pili kwa miaka 40.

Sasa mwakani tena inatolewa nafasi ya 3 hivyo kuangukia nafasi ya 4 ambayo nayo huenda ikaja kuotelewa tena.

Ninacho kiona Japani ni kufuata mkumbo wa USA, mfano India kwa sasa anapata mafuta kwa bei chee sana kutoka Urusi, Ilihali Japani yeye akiwa ameungana na Marekani kuiweka Urusi vikwazo amnavyo vinaithori sana Japani.
View attachment 3160033
Akili kumkichwa,wacha waendelee kuwa vibaraka watjikuta shomoni
 
Kipindi hiko India ikinunua kwa wingi kutoka Japan (na kwingineko) sasa haifanyi tena hivyo badala yake inazalisha yenyewe na kuuza nje. Export ikianza kuzidi import lazima uchumi ukue. That means kile kiasi ambacho Japan alikuwa anauza India (na kwingineko) kimepungua sana hivyo lazima uchumi wake usinyae.

Pili, purchasing power ya normal Indians imekuwa tofauti na miaka ya nyuma. Mnazalisha na kununua wenyewe na surplus Mna-export lazima uchumi uwe mkubwa plus population. Utaona India imeanza kuzidi Japan kwa aspects muhimu za kiuchumi.
 
Kinachoitesa Japan na nchi za ulaya ni waliwekeza nguvu nyingi katika social issues wakasahau katika maendeleo,

Yan wao kutumia pesa nyingi kwenye Climate change, sijui haki za wanyama, mara pesa kwa ajiili ya wazee etc, sasa nchi nying uchumi wao una collapse, hakuna makampuni makubwa yanayozaliwa tena, nguvu kasi inakimbilia USA,
 
Japani ilipitwa na China 2010 na kutoleqa nafasi ya pili, kumbuka Japani imekaa nafasi ya pili kwa miaka 40.

Sasa mwakani tena inatolewa nafasi ya 3 hivyo kuangukia nafasi ya 4 ambayo nayo huenda ikaja kuotelewa tena.

Ninacho kiona Japani ni kufuata mkumbo wa USA, mfano India kwa sasa anapata mafuta kwa bei chee sana kutoka Urusi, Ilihali Japani yeye akiwa ameungana na Marekani kuiweka Urusi vikwazo amnavyo vinaithori sana Japani.
View attachment 3160033
Nadhani suala kubwa hapa ni population ya India inazidi kuwa kubwa huku population ya Japan ikiendelea kuporomoka.

India ni taifa lenye idadi kubwa ya watu duniani ukichagiza na maendeleo ya science na technology ni suala la muda tu kabla Japan haijatupwa nje ya kumi bora.

Nchi kama Brazil zinaweza kuipiku Japan muda si mrefu sana.
 
Pop
Japani ilipitwa na China 2010 na kutoleqa nafasi ya pili, kumbuka Japani imekaa nafasi ya pili kwa miaka 40.

Sasa mwakani tena inatolewa nafasi ya 3 hivyo kuangukia nafasi ya 4 ambayo nayo huenda ikaja kuotelewa tena.

Ninacho kiona Japani ni kufuata mkumbo wa USA, mfano India kwa sasa anapata mafuta kwa bei chee sana kutoka Urusi, Ilihali Japani yeye akiwa ameungana na Marekani kuiweka Urusi vikwazo amnavyo vinaithori sana Japani.
View attachment 3160033
1.population kubwa ya wazee,wanaofanya kazi ni wachache sana,production ni ndogo mno
2.copying of technology ya mataifa mengine------gari lile like Japana $20000,china $8000
3.sera za Japan kitoimport human labor-----kunapunguza production
 
Badala ya kujiuliza Japan kimewakumba Nini, unaweza vile vile waweza jiuliza India wana Siri gani ya maana hiyo nafasi aliyopo India kwa hivi sasa alikuwa UK nae kapigwa kibega na India
Nadhani demographic factors zinambeba zaidi India, ambazo ndio hizo hizo zinazomuangusha Japan
 
Japani ilipitwa na China 2010 na kutoleqa nafasi ya pili, kumbuka Japani imekaa nafasi ya pili kwa miaka 40.

Sasa mwakani tena inatolewa nafasi ya 3 hivyo kuangukia nafasi ya 4 ambayo nayo huenda ikaja kuotelewa tena.

Ninacho kiona Japani ni kufuata mkumbo wa USA, mfano India kwa sasa anapata mafuta kwa bei chee sana kutoka Urusi, Ilihali Japani yeye akiwa ameungana na Marekani kuiweka Urusi vikwazo amnavyo vinaithori sana Japani.
View attachment 3160033
Sio swala la sijui kuikumba Bali ni ishu tuu za ukuaji wa Uchumi.

Nchi zote ambazo zimeendelea kiuchumi xinakuwa zimefikia stage ya Juu kabisa ya Maendeleo ambapo inakuwa assumed kwamba no idle resources zote ziko kwenye full employment and so Nchi inasalia kutegemea technological innovation ku move.

Japan nayo ilipigianstahe zote hizo za India miaka ya 80 na kuipiku Uingereza na Germany.

Ni suala la mda tuu hata USA itapitwa na China na pia India itakuja kuwapita wote na baadae miaka ya 2100 huko usije shangaa Nchi nyingine ambazo Bado Zina Rasilimali nyingi kuja kuwa Juu.
 
Japani ilipitwa na China 2010 na kutoleqa nafasi ya pili, kumbuka Japani imekaa nafasi ya pili kwa miaka 40.

Sasa mwakani tena inatolewa nafasi ya 3 hivyo kuangukia nafasi ya 4 ambayo nayo huenda ikaja kuotelewa tena.

Ninacho kiona Japani ni kufuata mkumbo wa USA, mfano India kwa sasa anapata mafuta kwa bei chee sana kutoka Urusi, Ilihali Japani yeye akiwa ameungana na Marekani kuiweka Urusi vikwazo amnavyo vinaithori sana Japani.
View attachment 3160033
Inawezekana uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa huko,ccm hawakuweka watu compitent
 
Nadhani suala kubwa hapa ni population ya India inazidi kuwa kubwa huku population ya Japan ikiendelea kuporomoka.

India ni taifa lenye idadi kubwa ya watu duniani ukichagiza na maendeleo ya science na technology ni suala la muda tu kabla Japan haijatupwa nje ya kumi bora.

Nchi kama Brazil zinaweza kuipiku Japan muda si mrefu sana.
Japani ilipitwa na China 2010 na kutoleqa nafasi ya pili, kumbuka Japani imekaa nafasi ya pili kwa miaka 40.

Sasa mwakani tena inatolewa nafasi ya 3 hivyo kuangukia nafasi ya 4 ambayo nayo huenda ikaja kuotelewa tena.

Ninacho kiona Japani ni kufuata mkumbo wa USA, mfano India kwa sasa anapata mafuta kwa bei chee sana kutoka Urusi, Ilihali Japani yeye akiwa ameungana na Marekani kuiweka Urusi vikwazo amnavyo vinaithori sana Japani.
View attachment 3160033
Pia Japan imejaa wazee! Mambo ya uzazi wa mpango usio na mpango umejibu.
Mbaya zaidi, Japanese wanajiona watu maalumu hawana utamaduni wa kukaribisha wageni - ni wabaguzi.
Nafikiri suala la population ni kweli kwamba ni miongoni mwa sababu kuu za kufanya Uchumi wa Japan kuwa stagnant. Aging population ni tatizo kubwa sana nchini Japan.

Vile vile, hata baadhi ya Makampuni Makubwa zaidi yaliyokuwa yakiendesha uchumi wa nchi hiyo nayo yameuzwa kwa raia wa kigeni, au hata kiasi fulani cha sehemu za haki-miliki (copyrights) za makampuni hayo zimekuwa outsourced kwa makampuni ya kigeni na/au kwa raia wa kigeni. Baadhi ya bidhaa nyingi za Makampuni ya Japan Sasa hivi zimekuwa zikizalishwa nje ya taifa hilo la Japan 'under license.' Hili ni tatizo kubwa Sana kwa ukuaji mzuri wa uchumi wa nchi hiyo ya Japan.
 
Hii tabia ya kufuata mkumbo wa Marekani kumeiponza Ujerumani ,sasa hivi uchumi wa Ujerumani unapumlia mashine na unakaribia kuanguka.
Yaani viongozi wa Ujerumani ni wasenge sana yaani wanashauliwa na Marekani wasinunue gesi na mafuta ya Urusi yenye bei ndogo alafu yeye ana anawauzia gesi yenye bei kubwa mara 4 ya ile ya Urusi.

Huu usenge nchi nyingi ziliukataa,kuanzia Uturuki , Indonesia,India,China hata Italy ambaye ni kibaraka mwenzao aliukataa huo usenge.
 
Sio swala la sijui kuikumba Bali ni ishu tuu za ukuaji wa Uchumi.

Nchi zote ambazo zimeendelea kiuchumi xinakuwa zimefikia stage ya Juu kabisa ya Maendeleo ambapo inakuwa assumed kwamba no idle resources zote ziko kwenye full employment and so Nchi inasalia kutegemea technological innovation ku move.

Japan nayo ilipigianstahe zote hizo za India miaka ya 80 na kuipiku Uingereza na Germany.

Ni suala la mda tuu hata USA itapitwa na China na pia India itakuja kuwapita wote na baadae miaka ya 2100 huko usije shangaa Nchi nyingine ambazo Bado Zina Rasilimali nyingi kuja kuwa Juu.
By mwaka huo uliotaja (2100) Tanzania itakuwa miongoni mwa nchi 10 zenye population kubwa duniani. Lets hope kwa kigezo cha population na sisi tutakuwa among the 10 large economies in the world! Tumejiandaa au tunasubiri miujiza?
 
kwani kuna umuhimu gani kunapoongezeka pato la taifa ikiwa wananchi ni dhofu hali!!!

serikali zijitahidi kupunguz kodi,misaada ya nje na ijikite kuwaongezea thamani watu wake kwa kuwapa elimu.
 
Back
Top Bottom