Population ni suala mojawapo ila sio suala kubwa,Nadhani suala kubwa hapa ni population ya India inazidi kuwa kubwa huku population ya Japan ikiendelea kuporomoka.
India ni taifa lenye idadi kubwa ya watu duniani ukichagiza na maendeleo ya science na technology ni suala la muda tu kabla Japan haijatupwa nje ya kumi bora.
Nchi kama Brazil zinaweza kuipiku Japan muda si mrefu sana.
Unaweza kupigwa na India utajiri lakini watu wako wakawa matajiri kuliko wahindiJapani ilipitwa na China 2010 na kutoleqa nafasi ya pili, kumbuka Japani imekaa nafasi ya pili kwa miaka 40.
Sasa mwakani tena inatolewa nafasi ya 3 hivyo kuangukia nafasi ya 4 ambayo nayo huenda ikaja kuotelewa tena.
Ninacho kiona Japani ni kufuata mkumbo wa USA, mfano India kwa sasa anapata mafuta kwa bei chee sana kutoka Urusi, Ilihali Japani yeye akiwa ameungana na Marekani kuiweka Urusi vikwazo amnavyo vinaithori sana Japani.
View attachment 3160033
Sio kweli,The high the population, the high the economy. India ina population kubwa ambayo ni more productive ikilinganishwa na Japan iliyojaa wazee na vijana wachache.
Umechanganyikiwa na ushabiki uchwara.Hii tabia ya kufuata mkumbo wa Marekani kumeiponza Ujerumani ,sasa hivi uchumi wa Ujerumani unapumlia mashine na unakaribia kuanguka.
Yaani viongozi wa Ujerumani ni wasenge sana yaani wanashauliwa na Marekani wasinunue gesi na mafuta ya Urusi yenye bei ndogo alafu yeye ana anawauzia gesi yenye bei kubwa mara 4 ya ile ya Urusi.
Huu usenge nchi nyingi ziliukataa,kuanzia Uturuki , Indonesia,India,China hata Italy ambaye ni kibaraka mwenzao aliukataa huo usenge.
Uchumi wa Japan haujashuka bali haukuendelea kukua sana kuanzia miaka ya 1990, sababu kubwa ni deflation na banking crisis, demographics ni nyongeza tu.- Sababu za japan kushuka kiuchumi ipo Ki demographia zaidi, ina idadi kubwa ya Wazee ambao ni tegemezi japo pia wanatumia sana Robotics kwenye uzalishaji
Wanazo kazi za watu wachini (weusi) wahamiaji wanase ni 4D, yaani Dirty, Dangerous, hizo D2 nimesahau.Pia Japan imejaa wazee! Mambo ya uzazi wa mpango usio na mpango umejibu.
Mbaya zaidi, Japanese wanajiona watu maalumu hawana utamaduni wa kukaribisha wageni - ni wabaguzi.
Ww ndo unaendekeza ushabiki uchwara kwa kutokubali ukweli mchungu hasa unapo wahusu wamagharibi unao waona kama miungu wako.Umechanganyikiwa na ushabiki uchwara.
Na haya yote yametokea kwa sababu Ujerumani imefuata "mkumbo" wa Marekani??Ww ndo unaendekeza ushabiki uchwara kwa kutokubali ukweli mchungu hasa unapo wahusu wamagharibi unao waona kama miungu wako.
Kwa hiyo ni uongo kuwa uchumi wa Ujerumani kwa sasa unapitia kwenye myumbo?
Kwa hiyo ni uongo kuwa mamia ya viwanda nchini Ujerumani havijafungwa kwa sababu gharama za uzalishaji kuwa juu hivyo kushindwa kuendana na ushindani wa soko la dunia?
Kwani ni uongo kuwa kwa sasa Ujerumani kuna mfumko mkubwa wa bei?
Kwani ni uongo kuwa serikali ya Shoz imeanguka na kulazimika kuitisha uchaguzi wa mapema?
Hayo yote yametokea baada ya Ujerumani kusikiliza tumba za Marekani kuhusu kuachana na nishati ya bei rahisi kutoka Urusi badala yake akaenda kununua nishati ya bei kubwa sana kutoka Marekani.Na haya yote yametokea kwa sababu Ujerumani imefuata "mkumbo" wa Marekani??
Acha ukasuku,Hayo yote yametokea baada ya Ujerumani kusikiliza tumba za Marekani kuhusu kuachana na nishati ya bei rahisi kutoka Urusi badala yake akaenda kununua nishati ya bei kubwa sana kutoka Marekani.
Sasa kama wana siasa wa wenye Ujerumani yao wana sema kuwa kina endelea ni kutokana na ombwe la gesi ya Urusi ,ww mlala hoi kutoka mbagala unabisha nn?Acha ukasuku,
Nusu ya nishati ya ujerumani ni kutokana na renewable sources(upepo, solar na maji), makaa ya mawe yanafuatia na wananuna kila mahali duniani, Norway ndio supplier mkubwa zaidi wa gas Ujerumani.
Umechangia kiuchumi ndugu. Wasiosoma uchumi hawataelewa hata kidogoBadala ya kujiuliza Japan kimewakumba Nini, unaweza vile vile waweza jiuliza India wana Siri gani ya maana hiyo nafasi aliyopo India kwa hivi sasa alikuwa UK nae kapigwa kibega na India
Nadhani demographic factors zinambeba zaidi India, ambazo ndio hizo hizo zinazomuangusha Japan
Hapana ya kwenu Gongo la MbotoIndia hiiihiii ya akina Kanjibhai??
Kwani wao wanaahindwa kuinda EVs kama za China?Nchi zilizokuwa zinategemea sana export za viwandani hali ni tete baada ya ujio wa China. Ujerumani na Japan sekta yao ya magari inaenda shimoni baada ya EVs za China kushika kasi. Kingine ni kuwa hazikuwekeza kwenye digital world. Pia gharama za uzalishaji kwenye hizi nchi zilizoendelea sana ni balaa.
Sio tatizo la Japan peke yake Hadi Ulaya 👇👇Wanazo kazi za watu wachini (weusi) wahamiaji wanase ni 4D, yaani Dirty, Dangerous, hizo D2 nimesahau.
Waombe Muungano na nchi za Afrika kuondoa tatizo la population.
Kuna changamoto kadhaa zinaikabili Japan zinazoweza kuchangia India kuipiku kiuchumi na kuwa taifa la tatu lenye uchumi mkubwa duniani.Hii ni kawaida katika cirle ya maisha.
Itafikia kipindi hata nchi za Kiafrika zitakuwa juu sana kiuchumi ikilinganishwa na nchi za Ulaya.
Dunia ipo katika movement/rotation hivyo aliye juu atakuja kushuka na aliye chini atapanda juu.
Kumbuka pia kuna 'reincarnation'