Nini kinakukera kwa mpenzi wako?

Nini kinakukera kwa mpenzi wako?

Yaan hajui kulamba koni,pipi ya kijiti wala icecream ya Azam,kifupi hajui maandalizi halafu kila siku style yake ni missionary tu hataki style nyingine,yaani naona kabisa ananiingiza majaribuni nije nimsaliti bure tu😛😛
 
Jeuri
Kiburi
Nunda
Haambiliki
Anapenda sana kununa
Chakula chake kikuu ni Pesa

Ila ni mtamu balaa tabasamu lake furaha yangu nikimuingizia Jongoo wangu analia kikwao sauti ya Bi Kidude mtetemo km Jenereta la Msikiti
 
Kupaka mafuta miguuni yaani nimeongea nimechoka siku zingine mpaka nilete nimpake. Miguu sasa akivaa sandals utasema mihogo imeveshwa 😎
 
Jeuri
Kiburi
Nunda
Haambiliki
Anapenda sana kununa
Chakula chake kikuu ni Pesa

Ila ni mtamu balaa tabasamu lake furaha yangu nikimuingizia Jongoo wangu analia kikwao sauti ya Bi Kidude mtetemo km Jenereta la Msikiti
Jamaniiii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mimi baby wangu ni wale wanaochat hunaonekana badala ya unaonekana. Natamanigi kumtumia emoji ya rubbish.🚮🚮🚮
 
Wapenzi ninao wengi,siwezi kuwaelezea wote,

Ila Ashura ndala ndefu ndio kanikamata kisawasawa,kuna lile lishangazi langu hua linanibana na mapaja yake mpaka nashindwa kupumua,

Kuna mshangazi mwingine akifika Kilimanjaro hua analia kama vile kuna msiba.

Nitarudi kuwaongelea na wengine.

😎
 
Back
Top Bottom