Uchunjuba Punjubi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 799
- 622
Habarini wakuu, kwa muda sasa wasanii hapa Tanzania wamekuwa wakilalamika kuhusu kitu kinaitwa HAKIMILIKI na imekuwa shida sana kufanikiwa, kila siku wanapigwa danadana, shida hasa imekuwa wapi? Kama sheria hakuna kwa nini isitungwe, kwa maana sanaa imekuwa ni ajira ambayo inatakiwa kurasimishwa sasa. Pia nataka kujua ni nani anatakiwa kushughulikia hili swala ili wasanii wapate haki yao? Anakwama wapi? Msaada wenu tafadhali ili nijue.
Tatizo elimu wengi hawana, lakini hakuna vyombo kweli vya kufanikisha hili.Wasanii wenyewe hawajui umuhimu kuhusu kazi zao, who do you think will protect their intellectual rights?
Asante mkuu, kwahiyo ipo sheria inayowalinda kiasi kwamba wakimkuta mtu anauza kazi zao ovyo wanaweza kuwashitaki?Hakimiliki ni automatic, yaani ukitoa tu kazi yako tayari inalindwa. Ni nchi chache duniani ambazo zinahitaji hakimiliki zisajiliwe. Tanzania hazisajiliwi, hivyo hakuna anayekwamisha hakimiliki za wasanii tanzania. Mtihani upo jinsi wasanii wanavyotambua kwamba kazi zao zina hakimiliki na jinsi ya kunufaika na hizo kazi. Nawasilisha
Asante mkuu, kwahiyo ipo sheria inayowalinda kiasi kwamba wakimkuta mtu anauza kazi zao ovyo wanaweza kuwashitaki?
Sawa sawa mkuuTanzania sheria ipo na inawalinda. Tatizo ni kupata ushahidi, maana unaweza kwenda mshitaki mtu na yeye akaruka. Polisi wetu mambo wa hakimiliki hawajui, hivyo wao kwenda moja kwa moja kumkamata mtu inakuwa ni vigumu. Ndio maana wasanii wanashauriwa wajiunge na COSOTA naamini COSOTA wanakitengo kinachohusika na masuala ya hakimiliki na wanaweza saidia kutumia vyombo vya dola kwenda kumkamata na kumshitaki anayeuza kazi za msanii husika bila kibali.
Hata mimi ndo nilikua najua hivyo mkuuTatizo sio Hakimiliki bali sheria zinazoshughulikia violations of Hakimiliki!
Tofauti ya HAKIMILIKI na HATIMILIKI ni nini?
Tatizo sio Hakimiliki bali sheria zinazoshughulikia violations of Hakimiliki!
Kwahiyo Copyright kwa kiswahili ni hakimiliki? Unatoa maelezo haya kama wewe ni mtaalamu au unaongea tu ujuavyo?Hatimiliki inahusiana na umilikaji wa physical property hususan ardhi
hakimiliki inahusiana na umilikaji wa intellectual property hususan copyright
Umeuliza nimekujibu. kama unamaelezo mbadala wewe toa tu.Kwahiyo Copyright kwa kiswahili ni hakimiliki? Unatoa maelezo haya kama wewe ni mtaalamu au unaongea tu ujuavyo?
Tatizo sio kuwepo hizo sheria bali uzito wa sheria zenyewe! Kwa mfano, mtu anaweza kukutwa na hatia ya kudurufu kazi za sanaa lakini faini yake ni kichekesho!Naamini sheria zinazoshughulikia violation ya Hakimiliki zipo bali tatizo kubwa lipo kwenye vyombo vinavyopaswa kusimamia na kutekeleza sheria hizo. Sina hakika mahakama zetu au mahakama za biashara zina mahakimu wenye ujuzi eneo hilo la hakimiliki na "intellectual property" katika ujumla wake, vivyo hivyo polisi, forodha n.k.
Tatizo sio kuwepo hizo sheria bali uzito wa sheria zenyewe! Kwa mfano, mtu anaweza kukutwa na hatia ya kudurufu kazi za sanaa lakini faini yake ni kichekesho!
Matokeo yake watu hawaogopi kudurufu kazi za wasanii kwa sababu wanafahamu hata wakidakwa, hukumu yake ni ndogo sana! Ni kutokana na hilo ndio maana nikasema tatizo ni sheria zinazoshughulikia copyright violations!! Uzuri wa sheria watu waogope kutenda kosa kwa hofu ya sheria inayoshughulikia kosa husika!
Leo hii ukikutana na 16 years school girl, unajua kabisa mikikimikiki ya dushe anaihimili bila tatizo lakini ukifikiria miaka 30 hapo hapo dushe linasinyaa!
Cha kufanyika kipo lakini nahisi mapigo ya moyo kwenda mbio kila nikifikiria nini kinatakiwa kufanywa!Kwa hilo nakubaliana nawe kabisa. Adhabu ni finyu sana na haiogopeshi. Swali ni je tunarekebishaje hali hii? Huo mfano wako wa 16yrs ni noma 😀
Cha kufanyika kipo lakini nahisi mapigo ya moyo kwenda mbio kila nikifikiria nini kinatakiwa kufanywa!