Uchunjuba Punjubi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 799
- 622
Habarini wakuu, kwa muda sasa wasanii hapa Tanzania wamekuwa wakilalamika kuhusu kitu kinaitwa HAKIMILIKI na imekuwa shida sana kufanikiwa, kila siku wanapigwa danadana, shida hasa imekuwa wapi? Kama sheria hakuna kwa nini isitungwe, kwa maana sanaa imekuwa ni ajira ambayo inatakiwa kurasimishwa sasa. Pia nataka kujua ni nani anatakiwa kushughulikia hili swala ili wasanii wapate haki yao? Anakwama wapi? Msaada wenu tafadhali ili nijue.