Nini kinakwamisha uboreshaji reli ya TAZARA Dar kwenda Lusaka?

Nini kinakwamisha uboreshaji reli ya TAZARA Dar kwenda Lusaka?

Black Legend

Senior Member
Joined
Jul 28, 2015
Posts
174
Reaction score
301
Kama mdau wa maendeleo wa nchi hii yetu pendwa..nimekua toka enzi za utoto nikiona matumizi makubwa ya RELI ya TAZARA. Katika utawala wa Mwinyi na Mkapa RELI hii ilikuwa ni kitovu cha uhudumiaji nchi za ukanda wa kusini kama Zambia, Malawi, Congo DR nk.

Abiria na mizigo Mingi ilisafirishwa kupitia RELI hii. Pale Mbeya kulikuwa center kubwa ya kupakua mizigo kama Magari na pia mafuta yalihifadhiwa pale kwenye matanki makubwa kwa nchi kama MALAWI chini ya kampuni maarufu ya serikali ya Malawi MALAWI CARGO nk.

Kwa utawala wa Kikwete, Magufuli na Sasa Samia, hii RELI ni kama imekufa na hakuoneshi juhudu za dhati za kuboresha na kuirudisha katika ufanisi wake hii RELI.

Mikoa ya kusini na nchi za kusini mwa Tanzania ni wahudumiaji wakubwa wa uchumi wa nchi yetu.....kuwa na huduma imara ya RELI TAZARA kungeleta tija kubwa saana kwenye nchi yetu.

KWA RAIS WA NCHI NA WASAIDIZI WAKE(MAWAZIRI, WABUNGE NK.) NI WAKATI MUAFAKA SASA KULITAZAMA HILI SUALA KWA JICHO LA KIPEKEE, KAMA TUNATAKA NCHI IPAE KWA UCHUMI IMARA,HATUNA BUDI KUIMARISHA TAZARA....."It can be done, let's play our part". 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🇹🇿
 
Uhuni TU mkuu!

Ninkama kulivyo na flaws Kila eneo kwenye miradi!!

Hakuna perfection kwa sasa!

Kila mradi wanawaza wapige percent badala ya kuwaza ubora wa mradi wenyewe!!!
 
Kama mdau wa maendeleo wa nchi hii yetu pendwa..nimekua toka enzi za utoto nikiona matumizi makubwa ya RELI ya TAZARA. Katika utawala wa Mwinyi na Mkapa RELI hii ilikuwa ni kitovu cha uhudumiaji nchi za ukanda wa kusini kama ZAMBIA, MALAWI, CONGO DRC...nk. Abiria na mizigo Mingi ilisafirishwa kupitia RELI hii. Pale Mbeya kulikuwa center kubwa ya kupakua mizigo kama Magari na pia mafuta yalihifadhiwa pale kwenye matanki makubwa kwa nchi kama MALAWI chini ya kampuni maarufu ya serikali ya Malawi..MALAWI CARGO nk.
Kwa utawala wa Kikwete, Magufuli na Sasa Samia, hii RELI ni kama imekufa na hakuoneshi juhudu za dhati za kuboresha na kuirudisha katika ufanisi wake hii RELI.
Mikoa ya kusini na nchi za kusini mwa Tanzania ni wahudumiaji wakubwa wa uchumi wa nchi yetu.....kuwa na huduma imara ya RELI TAZARA kungeleta tija kubwa saana kwenye nchi yetu.

KWA RAIS WA NCHI NA WASAIDIZI WAKE(MAWAZIRI, WABUNGE NK.) NI WAKATI MUAFAKA SASA KULITAZAMA HILI SUALA KWA JICHO LA KIPEKEE, KAMA TUNATAKA NCHI IPAE KWA UCHUMI IMARA,HATUNA BUDI KUIMARISHA TAZARA....."It can be done, let's play our part". 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🇹🇿
Mkuu TAZARA ni shamba la bibi, mwaka 20** nilikuwa pale commercial department.
 
Kama mdau wa maendeleo wa nchi hii yetu pendwa..nimekua toka enzi za utoto nikiona matumizi makubwa ya RELI ya TAZARA. Katika utawala wa Mwinyi na Mkapa RELI hii ilikuwa ni kitovu cha uhudumiaji nchi za ukanda wa kusini kama ZAMBIA, MALAWI, CONGO DRC...nk. Abiria na mizigo Mingi ilisafirishwa kupitia RELI hii. Pale Mbeya kulikuwa center kubwa ya kupakua mizigo kama Magari na pia mafuta yalihifadhiwa pale kwenye matanki makubwa kwa nchi kama MALAWI chini ya kampuni maarufu ya serikali ya Malawi..MALAWI CARGO nk.
Kwa utawala wa Kikwete, Magufuli na Sasa Samia, hii RELI ni kama imekufa na hakuoneshi juhudu za dhati za kuboresha na kuirudisha katika ufanisi wake hii RELI.
Mikoa ya kusini na nchi za kusini mwa Tanzania ni wahudumiaji wakubwa wa uchumi wa nchi yetu.....kuwa na huduma imara ya RELI TAZARA kungeleta tija kubwa saana kwenye nchi yetu.

KWA RAIS WA NCHI NA WASAIDIZI WAKE(MAWAZIRI, WABUNGE NK.) NI WAKATI MUAFAKA SASA KULITAZAMA HILI SUALA KWA JICHO LA KIPEKEE, KAMA TUNATAKA NCHI IPAE KWA UCHUMI IMARA,HATUNA BUDI KUIMARISHA TAZARA....."It can be done, let's play our part". 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🇹🇿
Jibu lipo hapa chini. Mimi ni mpenzi wa kuangalia makala za dengerous roads au Railways siku moja nakutana na Tazara. Nilipata jibu la swali lako. Endelea...


View: https://www.youtube.com/watch?v=Y4gjcOJ9Xqk
 
Back
Top Bottom